Wakuu nokia phones and apps cjaona ckijadiliwa naona android kwa xana,kwann?
Unazungumzia ile NOKIA tochi ama..?? Maana ile simu ina umaarufu sana. Kila mwenye li-simu la maana, sijui iPad, Sijui galaxy, sijui BB yaani lazima ana kitochi chake kwa pembeni... Chezeya NOKIA tochi weye...Wakuu nokia phones and apps cjaona ckijadiliwa naona android kwa xana,kwann?
Unazungumzia ile NOKIA tochi ama..?? Maana ile simu ina umaarufu sana. Kila mwenye li-simu la maana, sijui iPad, Sijui galaxy, sijui BB yaani lazima ana kitochi chake kwa pembeni... Chezeya NOKIA tochi weye...
Nikiachana na hii Nokia 311, SITARUDI TENA kwenye Symbian. Tutakutana kwenye Windowz au Android
311 sio symbian
Mkuu nataka simu ya kukaa na chaji ya kawaida, katika pitiapitia mitandaoni nimekutana na hii Nokia 105 nahisi itanifaa.
Tatizo sijajua wastani inatembea sh ngapi.?
40,000 maximum ila unapata hadi 35,000 ni kitoch kipya vipo kkoo vingi sana sasa hv, sema ustegemee kitu special kina tochi, redio na vitu vya kawaida hakina camera wala internet.
kama unataka simu yenye internet na camera yenye kukaa sana na chaji ni asha 501 around laki na nusu inauzwa na inakaa na chaji siku 4 matumizi ya kawaida na hadi wiki matumizi madogo. standby inakaa na chaji siku 40(mwezi na siku 10)
Mkuu sitaki internet wala kamera, zaidi uvumilivu wa chaji, kwa hizo huduma ninayo simu maalumu.
Nyongeza mkuu ninayo Nokia E52 ila nimeipaki zaidi ya miezi mitatu, tatizo lake baadhi ya keypad kama na. 6,3,4 hazifanyi kazi sio kwenye namba au herufi kote kimya.
nilishawai kumpelekea fundi mmoja akaishia kupaka mafuta ya ajabuajabu lakini wapi kimya.
Mkuu nilikua nataka kujua ni tatizo hardware au software, na kama kuna suluhu tofauti nisaidie.?
mkuu tatizo ni hardware mi si mtaalam wa vitu hivyo ungatafuta mafund simu wapo humu
Mwenye uzoefu na lumia 720 naomba aniambie perfomance and usability ya 4n ikoje.Ushauri naomben naipenda hii 4n.thnx in advance
311 sio symbian
Kumbe ni nini, nipe somo mkuu.
Kumbe ni nini, nipe somo mkuu.
ni asha touch basi, os yake inashare na 305,306,307,308,309.... idc wenyewe wamekua kigeu geu mara ni smartphone mara sio smartphone