Kuhusu second batch ya HELSB

Kuhusu second batch ya HELSB

David kulwa

Member
Joined
Sep 18, 2016
Posts
29
Reaction score
2
Wana JF naomba kuuliza iv bodi ya mkopo inaweza Kutoa 2 batch au ndo imeishia hapo
 
Sina uhakika juu ya mawazo yangu, ila sidhani hata kidogo ndugu
 
Bado watu 5000 tuu

Watakaokata Rufaa.
Waliochelewa kurekebisha Taarifa.


Diploma ndo basi tena
 
Kitu sijaelewa ni Unakataje Rufaa huku hujui kama upo miongoni mwa wale 5000 watakaopewa au laa?????
 
hawa bodi ni wapumbavu sa
Kitu sijaelewa ni Unakataje Rufaa huku hujui kama upo miongoni mwa wale 5000 watakaopewa au laa?????


hawa bodi ni wapumbavu sana narudia tena ni wapumbavu sana.30000 ya application,7000 ya ems,20000 nauli ya kutoka jkt kuja kuapply, 20000 ya kurudi tena jkt,5000 serikari ya mtaa ,5000 mahakamani .na vinauli kibao vya kuzulula na fomu langu mkononi manina yani Napata hasira afu leo hii not allocated si usenge huu
 
hawa bodi ni wapumbavu sa



hawa bodi ni wapumbavu sana narudia tena ni wapumbavu sana.30000 ya application,7000 ya ems,20000 nauli ya kutoka jkt kuja kuapply, 20000 ya kurudi tena jkt,5000 serikari ya mtaa ,5000 mahakamani .na vinauli kibao vya kuzulula na fomu langu mkononi manina yani Napata hasira afu leo hii not allocated si usenge huu
yan hasira ulizokua nazo mm n mara mbil sasa.
Nimechukia kinyama naichukia serikal nzima mpaka mjumbe wa mtaa.
Bora iyo third world war ije tu watu tutiane adabu
 
jamani serikali yetu tukufu mnatunyanyasa watanzania hasa watoto wa masikini ambao tuna diploma holder,(equivalent qualification) ni heri mngelitwambia mapema kabla hatujaomba mkopo kuwa equivalent qualification hawatopatiwa mkopo ile elfu 80 nilotumia katka zoezi zima la kuomba mkopo, ningekodisha hata shamba nikawekeza kwenye kilimo, kama kweli hii taarifa ni ya kweli nimeumia sana naona hata ule usemi wa " mnyonge mnyongeni haki yake mpeni" haupo katika taifa langu tukufu.
si kwamba mtu mwenye equivalent qualification ni kilaza ila inawezekana kutokana na malezi, mazingira na mahangaiko yote ya dunia alopitia ndo yalimfanya akashindwa kufaulu vizuri mtihani wake wa kidato cha 4/6 nawaombeni sana serikali yangu tukufu mtuangalie sana kwa jicho la pili sisi watu wa diploma tunateseka watoto wa wanyonge ambao tuliona kama elimu ingetusaidie kujikwamua kimaisha kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi mpaka sasa mvua hakuna yawezekana tungewekeza kwenye kilimo, kwa upande wangu kutokana na hali ya maisha ya walezi wangu walonayo kama kweli taarifa hii ya equivalent kutopata mkopo ni kweli naona ndoto za kusoma chuo kikuu zimekufa
.
 
daaah mungu tusaidie sis watoto wa masikin ndio tunaoteseka na maisha y kielimu huu usemi kuwa elimu ni ufunguo wa maisha huko wapi, serikal ya mwaka huu umeamua kututenga sisi walala hoi embu tuangalie n cc jaman
 
hawa bodi ni wapumbavu sa



hawa bodi ni wapumbavu sana narudia tena ni wapumbavu sana.30000 ya application,7000 ya ems,20000 nauli ya kutoka jkt kuja kuapply, 20000 ya kurudi tena jkt,5000 serikari ya mtaa ,5000 mahakamani .na vinauli kibao vya kuzulula na fomu langu mkononi manina yani Napata hasira afu leo hii not allocated si usenge huu

Pole sana mkuu!
 
hawa bodi ni wapumbavu sa



hawa bodi ni wapumbavu sana narudia tena ni wapumbavu sana.30000 ya application,7000 ya ems,20000 nauli ya kutoka jkt kuja kuapply, 20000 ya kurudi tena jkt,5000 serikari ya mtaa ,5000 mahakamani .na vinauli kibao vya kuzulula na fomu langu mkononi manina yani Napata hasira afu leo hii not allocated si usenge huu
pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom