Habari wana JF, ninaomba kuuliza kwa mwenye uelewa anisaidie kuhusu hili jambo.......nimesoma katika moja ya prospectus ya chuo kikuu huria cha Tanzania {open university} kuwa shahada ya kwanza ya sheria inafundishwa kwa njia mbili...njia ya kwaza ni kwa masafa marefu "long distance" {LL.B by distsnce} na njia ya pili inafundishwa kwa kutumia "partially taught programme" {LL.B EXECUTIVE}.........
swali langu ni kwamba hii LL.B EXECUTIVE ina gharama zake tofauti na ada au inakuaje naomba ufafanuzi kwa anayefahamu kuhusu hili jambo.....na je utaratibu wake upoje ili uweze kuwa ndani ya hii LL.B EXECUTIVE.........KWA YEYOTE ALIYESOMA OPEN UNIVERSITY SHAHADA YA KWANZA YA SHERIA ANIS
swali langu ni kwamba hii LL.B EXECUTIVE ina gharama zake tofauti na ada au inakuaje naomba ufafanuzi kwa anayefahamu kuhusu hili jambo.....na je utaratibu wake upoje ili uweze kuwa ndani ya hii LL.B EXECUTIVE.........KWA YEYOTE ALIYESOMA OPEN UNIVERSITY SHAHADA YA KWANZA YA SHERIA ANIS