Mtandao uko poa mkuu.. Line zake zinasoma kwenye unlocked hilink modem(voda) au hata kwenye sim then ukafanya kushare hotspot. Niko dar so nakamata 2G tu nashindwa kuutumia vilivyo.Ila nina ndugu yupo mbeya wao wanakamata 3G na HSDPA. Kwa bundle ya unlimited 24hrs ya tshs1000 anaweza kushusha hadi 20GB. So uko vizuri kwa kuanzia...