Kabla ya 1885 Africa hakukuwa na mipaka ila baada ya hapo kukawepo na mipaka baada ya Berlin conference ila hakunaga marekebisho ya mipaka kwa tanganyika na znz yaliyowahi kufanyika hivyo tukirudi kwenye mkataba ya scramble and partition for Africa still zanzibar inabaki kuwa na umiliki halali wa pwani ya tanganyika