Kuhusu meter ya Maji

Kuhusu meter ya Maji

ngawia

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
834
Reaction score
858
Wakuu naomba kuuliza Jana nimefunga meter ya Maji baada ya kuchukua bomba toka kwa jirani yangu nyumba anaishi kijana tu sasa tumeamka asbh meter inasoma unit moja wakati jana tulichota ndoo mbili tu
 
Wakuu naomba kuuliza Jana nimefunga meter ya Maji baada ya kuchukua bomba toka kwa jirani yangu nyumba anaishi kijana tu sasa tumeamka asbh meter inasoma unit moja wakati jana tulichota ndoo mbili tu
Unit 1 maana yake ni ndoo 50 za lita 20.

Kuna mambo kadhaa yatakua yametokea.

1. Bomba lilikua na upepo/hewa.

2. Umeibiwa maji.

3. Mita mbovu.

4. Kuna leakage.

Nakushauri urudi kwa mamlaka husika wakubadilishie mita.

NB: Hata kama mita ni mbovu jua kabisa watakataa cha kufanya waombe muitest wakiwepo au waiondoe kabisa waweke mpya. Na hiyo mpya hakikisha mmeitest kabla labla hawaja ondoka.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Maji yalikuwa yamekatika Sasa wewe ukafungua kwenye mita na kwenye bomba ili yakija ujue?
Kama ulikuwa umefanya hivyo mita ilikuwa inazunguka ndo maana inasoma ivo.

Naunga mkono hili jibu. Sababu kuu ni hii 👆. Wengi mtaani wanafanya hivyo bila kujua kua kabla maji kutoka unapita upepo mwingi ambao kama mita iko ON basi hesabu umeumia.
 
Ahsanten wakuu maana imefungwa jmamosi leo asbh nakuta unit moja wakati ilikuwa 00 Jana huenda hewa kwenye bomba kama mlivyosema .Leo fundi kafumua bomba lote hakuna liakage yeyote.
 
Sasa wakuu maji yanajaa kwenye kioo cha meter ya Maji ufungaji mbovu au huyu fundi kimeo maana anasema yataisha. Na kimesababisha maji kuja kwenye kioo
 
Unit 1 maana yake ni ndoo 50 za lita 20.

Kuna mambo kadhaa yatakua yametokea.

1. Bomba lilikua na upepo/hewa.

2. Umeibiwa maji.

3. Mita mbovu.

4. Kuna leakage.

Nakushauri urudi kwa mamlaka husika wakubadilishie mita.

NB: Hata kama mita ni mbovu jua kabisa watakataa cha kufanya waombe muitest wakiwepo au waiondoe kabisa waweke mpya. Na hiyo mpya hakikisha mmeitest kabla labla hawaja ondoka.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Upo sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom