mimi kama mwana chadema naulizia vp kuhusu yale mafunzo yetu mliosema yataanza wiki ijayo mbona kimya kirefu bila taaraifa yoyote viongozi wetu mbona mnatudanganya hata kwa hili dogo je itakuaje kwa kubwa
mimi kama mwana chadema naulizia vp kuhusu yale mafunzo yetu mliosema yataanza wiki ijayo mbona kimya kirefu bila taaraifa yoyote viongozi wetu mbona mnatudanganya hata kwa hili dogo je itakuaje kwa kubwa
Mafunzo yalishaanza na yanaendelea, wewe kama mwanaChadema uliza kwa uongozi wako watakupa maelezo kamili.
Kingine sio kila mwanachadema anapaswa kushiriki kwenye mafunzo, ni baadhi kwa ajili ya kazi maalum, onana na viongozi wako watakupa vigezo na masharti
mimi kama mwana chadema naulizia vp kuhusu yale mafunzo yetu mliosema yataanza wiki ijayo mbona kimya kirefu bila taaraifa yoyote viongozi wetu mbona mnatudanganya hata kwa hili dogo je itakuaje kwa kubwa