Kuhusu machine za kukoboa na kusaga

Daud omar

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2011
Posts
2,458
Reaction score
988
Habari zenu wadau, Nilikua nauliza kama kuna mtu ana ujuzi na upatikanaji wa mashine za kubolea na kusaga pamoja na bei yake..plz kama unafahamu lolote kuhusu hili naomba majibu..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…