Daud omar JF-Expert Member Joined Apr 4, 2011 Posts 2,458 Reaction score 988 Aug 20, 2013 #1 Habari zenu wadau, Nilikua nauliza kama kuna mtu ana ujuzi na upatikanaji wa mashine za kubolea na kusaga pamoja na bei yake..plz kama unafahamu lolote kuhusu hili naomba majibu..
Habari zenu wadau, Nilikua nauliza kama kuna mtu ana ujuzi na upatikanaji wa mashine za kubolea na kusaga pamoja na bei yake..plz kama unafahamu lolote kuhusu hili naomba majibu..