Kweli nchi hii watu vichwa vigumu kweli!
Kuna wajomba hapa jiran yangu walikuwa huko miaka mitatu imepita mi nilijua washaajiriwa kitambo!
Mwezi uliopita wamerudi maisha magumuuuu wamevurugwa tu ata vocha ya jero hawana... Halafu mtu bado unaenda huko??
Anyway kila la kher Ila mkataba ukiisha huko jkt msije kulia ila humu ndani oooh tumefundishwa kutumia silaha halafu wanaturudisha nyumbani