Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,347
Mkoa gani? Au ndio wewe uliyepitishwa na yule tapeli wa singidaNipo kwenye hatua ya usahili,tumetoka ngazi ya mkoa now ni ngazi ya Jkt ule usahili wa mwisho ila mimi nipo kwenye kundi reserve! Ndio maana yangu ndugu
nimekuelewa Dogo,hapo wewe wa reserve ni kama substitution player kwenye soccer,akija kuonekana mtu kukosa au kupungukiwa vigezo (au any unfitiness) kwa yyt walioko kwny first eleven nyie mmoja wapo ndo ataingia kucover nafas itakayoachwa wazi,,,,,,marufuku kukata tamaa dogo,pambana hii mizigo muda mwingine ni zali maiki,pambana hadi mwisho dogo
Kama wewe ni mzima wa Afya( presha ipo vizuri, ukimwi hauna, sukari ipo vizuri, HBV hauna na macho yako poa)....Diploma kaka! Kesho ndio wanakuja jkt kufanya usahili wa mwisho tupo reserve kama 6 hivi
Achan naehizi akili za panzi we nanga,ina maana hadi Leo hujui kuwa mtembea bure si sawa na mkaa bure???kwahyo likiwa ni zali ujifungie ndani na kulala tu litakukuta au siyo???acha upang'ang'a
Nakubali simba✊Kama wewe ni mzima wa Afya( presha ipo vizuri, ukimwi hauna, sukari ipo vizuri, HBV hauna na macho yako poa)....
Na kama vyeti vyote unavyo kuanzia cha kuzaliwa, shule ya msingi hadi chuo....
Ondoa shaka mkuu, umepata kabisa.
akubali askari✊First selection & reserve wote wanachukuliwa, usiwe unauliza kila kitu kama mjinga kuna mdau kakuuliza upo wap ukimjibu ujue imekula kwako ndugu reserve.
Nakubali kakaa nilijua labda hata kama reserve tupo sawa hatuna shida na wale wengine wako sawa basi nikajua wanaenda sisi tunabakiKama wewe ni mzima wa Afya( presha ipo vizuri, ukimwi hauna, sukari ipo vizuri, HBV hauna na macho yako poa)....
Na kama vyeti vyote unavyo kuanzia cha kuzaliwa, shule ya msingi hadi chuo....
Ondoa shaka mkuu, umepata kabisa.
Ukikua na ukijua maisha utaacha ahsnte kwa maoni yakoMkoa gani? Au ndio wewe uliyepitishwa na yule tapeli wa singida
Kama una kila kitu utaenda .. Kila La kheriDiploma kaka! Kesho ndio wanakuja jkt kufanya usahili wa mwisho tupo reserve kama 6 hivi
Je, kama upo kwenye reserve JKT na ikaonekana walio chaguliwa hakuna mwenye kasoro wote wapo sawa nilikua napenda kufahamu je" hapo ndio mwisho wa safari yangu?
Kama huwezi kumshauri bora ukae kimyakwahiyo hapa unataka tukusaidieje?
kwann usiwaulize huko jkt?
pamoja sana chief✊ ubarikiwe mnooKama una kila kitu utaenda .. Kila La kheri
ila tarizo watu wanachagua kazi kila mtu anataka bakabaka hiyo ndio shidamiaka hii jkt imekuwa changamoto kupata kazi.
Achana nae ana akili mgandoKama huwezi kumshauri bora ukae kimya
Anhaaa we wapi mkuu? Mkoa gani huo maana mi nipo ilala hapaReserve wetu diploma waliend wote na nafac zkabk na hakukuwa na unfit tshajaza fomu tnavt mda wa kwend kuripot vikocn 2 sas
Nyanda za juu kusiniAnhaaa we wapi mkuu? Mkoa gani huo maana mi nipo ilala hapa