Kuhusu huyu Baba Jamani.!

mkuu piga picha kama angeonekana hapa duniani yeye mmoja tu. halafu watu wote duniani wana shida zao wanahitaji awatatulie. wapange foleni
!!
Ni baba yao lakini,hawezi kuwashindwa na hata zamu ikiwa sana 8 usiku mie ningesubiri tu. Au vipi.
 
Amen... na ahsante kwa fundisho
 
Ni baba yao lakini,hawezi kuwashindwa na hata zamu ikiwa sana 8 usiku mie ningesubiri tu. Au vipi.
mkuu kwa mtazamo wako uko sahihi, niliongelea huyo jamaa aliesema kwamba haonekani. na mimi nikamuhoji, je endapo kama angeonekana kama jinsi tulivyo mimi au wewe, halafu binadamu wamfuate kila mmoja na shida zake..!!
 
Khaa! hili nalo.
 
Tatizo la huyu baba ni moja tu,huwa haonekani anatenda,anaagiza,anaamuru,lakini humuoni ng'o.
Let's assume leo hii aonekane, Duniani patakalika? Yaani kama Malaika wake tu wakishuka toka Mbinguni Dunia hutetemeka, kwa tetemeko, vipi mwenyewe sasa?!
 
Huyu baba ana tatizo moja kubwa sana.... Ni baba mwenye wivu, anataka apendwe yeye tu na wala tusiwe na mababa wengine
 
Let's assume leo hii aonekane, Duniani patakalika? Yaani kama Malaika wake tu wakishuka toka Mbinguni Dunia hutetemeka, kwa tetemeko, vipi mwenyewe sasa?!
Patakalika tu,si ni baba anawatembelea wanae,nini matetemeko mbona yapo tu mkuu,aje aone shida zetu.
 
Huyu baba ana tatizo moja kubwa sana.... Ni baba mwenye wivu, anataka apendwe yeye tu na wala tusiwe na mababa wengine
Tena anasema hivi.."Usijifanyie sanamu kwa ajili yako mwenyewe kwa mfano wowote mbinguni wala duniani au katika chini ya maji. Wala kujiinamisha mbele yao au ibada yao, kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu. "
 
Tena anasema hivi.."Usijifanyie sanamu kwa ajili yako mwenyewe kwa mfano wowote mbinguni wala duniani au katika chini ya maji. Wala kujiinamisha mbele yao au ibada yao, kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu. "
Bora umeshusha hicho kifungu kabisa. Sasa hapa najiuliza sisi wanae tutajifunza nini sasa toka kwake? maana nijuavyo mini wivu hauna maana yeyote
 
Bora umeshusha hicho kifungu kabisa. Sasa hapa najiuliza sisi wanae tutajifunza nini sasa toka kwake? maana nijuavyo mini wivu hauna maana yeyote
Ni muhimu kuelewa jinsi neno “wivu” lilivyotumika. Matumizi yake katika Kutoka 20:5 katika kuelezea Mungu ni tofauti na jinsi limetumika kuelezea dhambi ya wivu (Wagalatia 5:20). Wakati sisi tunalitumia neno “wivu”, tunalitumia kuwa na maana ya tama ya kitu cha mtu ambacho hatuna. Mtu anaweza kuwa na wivu au kumwonea wivu mtu mwingine kwa sababu yeye ana gari zuri au nyumba (miliki). Au mtu anaweza kuwa na wivu au tamani mtu mwingine kwa sababu ya baadhi ya uwezo au ujuzi huyo mtu mwingine anao (kama vile uwezo wa riadha). Mfano mwingine ni ule kwamba mtu mmoja anaweza kuwa na wivu au tamaa ya mwingine kwa sababu ya urembo wake.

Katika Kutoka 20:05, siyo kwamba Mungu ana wivu au tamaa kwa sababu mtu ana kitu ambacho anahitaji. Kutoka 20:4-5 inasema, “Usijifanyie sanamu kwa ajili yako mwenyewe kwa mfano wowote mbinguni wala duniani au katika chini ya maji. Wala kujiinamisha mbele yao au ibada yao, kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu ...” Onyo ni kwamba Mungu ni wa wivu wakati mtu anatoa kitu kwa mwingine ambacho ni haki kwake.

Katika mistari hii, Mungu anazungumza juu ya watu wanaotengeneza sanamu na kuziinamia kwa kuziabudu badala ya kumpa Mungu ibada anayostahili peke yake. Mungu anamiliki ibada na huduma ambayo ni yake. Ni dhambi (kama Mungu anavyosema katika amri hii) kuabudu au kutumikia kitu kingine chochote zaidi ya Mungu.

Chanzo :Ni kwa nini Mungu ni Mungu wa wivu?
 
Ahsante sana ndugu, sasa ninaelewa kwa nini Mungu ana wivu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…