Hivi wewe preta hii avator yako ndo wewe mwenyewe. Na kama sio wewe naomba mungu uwe umeitendea haki nikimaanisha uwebomba kama yenyewe.
Na kama kwa namna moja au nyingine nimekukwaza nisamehe kama ambavyo mungu huwasamehe viumbe wake
Hivi wewe preta hii avator yako ndo wewe mwenyewe. Na kama sio wewe naomba mungu uwe umeitendea haki nikimaanisha uwebomba kama yenyewe.
Na kama kwa namna moja au nyingine nimekukwaza nisamehe kama ambavyo mungu huwasamehe viumbe wake
usijali Tripo9.....hii sio picha yangu ni avatar tu......
mimi mwenyewe ukiniona.....hutaamini na unachokifananisha na hii avatar.....
so we baki na mtazamo wa avatar hivyo hivyo.....he he he......
usijali Tripo9.....hii sio picha yangu ni avatar tu......
mimi mwenyewe ukiniona.....hutaamini na unachokifananisha na hii avatar.....
so we baki na mtazamo wa avatar hivyo hivyo.....he he he......