Kuhusu Diploma clincical medicine

Kuhusu Diploma clincical medicine

kid key

Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
28
Reaction score
10
Form four nilipata
Bios- A
Phy - C
Chem - B
Tafadhali nilikuwa naomba uthibitisho kama nitapata chuo cha Lugalo cha clinical medicine... Au niapply chuo kingine.
 
Form four nilipata
Bios- A
Phy - C
Chem - B
Tafadhali nilikuwa naomba uthibitisho kama nitapata chuo cha Lugalo cha clinical medicine... Au niapply chuo kingine.
Pass zako ni nzuri, ila siyo guarantee kuwa utapata, kuna ushindani mkubwa sana Lugalo! Kwanni ussome medical laboratory sciences? Ina future nzuri, why all rush to CM/CO courses?
 
Pass zako ni nzuri, ila siyo guarantee kuwa utapata, kuna ushindani mkubwa sana Lugalo! Kwanni ussome medical laboratory sciences? Ina future nzuri, why all rush to CM/CO courses?
Umemshauri kitu kizuri maana kila mtu anakimbilia CO wanaisahau maabara kisa haina jina kubwa midomoni mwa watu ila laiti wangelikuwa wanaielewa basi wangebadilisha mazingira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemshauri kitu kizuri maana kila mtu anakimbilia CO wanaisahau maabara kisa haina jina kubwa midomoni mwa watu ila laiti wangelikuwa wanaielewa basi wangebadilisha mazingira.

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly, mimi najuta kumpeleka mwanangu CM/CO training. Nafikiria kumtoa aanze medical lab sciences! It has a good future including self employment or part time jobs...
 
Exactly, mimi najuta kumpeleka mwanangu CM/CO training. Nafikiria kumtoa aanze medical lab sciences! It has a good future including self employment or part time jobs...
Yah ni fani ambayo hata Degree, Master na PHD zake mtaan bado ni ndogo sanna ukilinganisha na MD.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Form four nilipata
Bios- A
Phy - C
Chem - B
Tafadhali nilikuwa naomba uthibitisho kama nitapata chuo cha Lugalo cha clinical medicine... Au niapply chuo kingine.
Utapata.

Ila kwenye Kuomba, hatuishii kuomba Chuo kimoja tu. Lazima uombe Vyuo vingi ili Majibu yakitoka, uwe na uwanja mpana wa kuchagua unapotaka kwenda.

Kuna Bugando, Muhimbili, KCMC, Kuna Vyuo vya Serikali. Vyote hivi vinatoa Kozi za Afya.

NB;
Kozi za Afya nazo ziko nyingi, unaweza kuzipitia na kuona unayoipenda.
Kuna DIPLOMA YA MEDICINE
RADIOLOGY
MEDICAL LABORATORY
PHARMACY



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pass zako ni nzuri, ila siyo guarantee kuwa utapata, kuna ushindani mkubwa sana Lugalo! Kwanni ussome medical laboratory sciences? Ina future nzuri, why all rush to CM/CO courses?
Dogo Chukua Huu Ushauri Hutojutia!
 
Utapata.

Ila kwenye Kuomba, hatuishii kuomba Chuo kimoja tu. Lazima uombe Vyuo vingi ili Majibu yakitoka, uwe na uwanja mpana wa kuchagua unapotaka kwenda.

Kuna Bugando, Muhimbili, KCMC, Kuna Vyuo vya Serikali. Vyote hivi vinatoa Kozi za Afya.

NB;
Kozi za Afya nazo ziko nyingi, unaweza kuzipitia na kuona unayoipenda.
Kuna DIPLOMA YA MEDICINE
RADIOLOGY
MEDICAL LABORATORY
PHARMACY



Sent using Jamii Forums mobile app
Bugando hakuna clinical medicine. Kwa Bugando kuna diploma in Nursing ambayo ni program ya serikali. Diploma za maabara, pharmacy na radiology zinatolewa na CUHAS
 
Vipi kuhusu future ya diploma ya Biomedical equipment engineering ya pale DIT?
 
Pass zako ni nzuri, ila siyo guarantee kuwa utapata, kuna ushindani mkubwa sana Lugalo! Kwanni ussome medical laboratory sciences? Ina future nzuri, why all rush to CM/CO courses?
Vipi kuhusu future ya diploma ya Biomedical equipment engineering ya pale DIT?
 
Vipi kuhusu future ya diploma ya Biomedical equipment engineering ya pale DIT?
Nzuri sana tena sana, ila training unaipata wapi? hapa hakuna training ya maana ni kudanganyana! nakumbuka kuna mtu wa fani hiyo alikuwa anatoka basel switzerland kutengeneza complicated machines za utafitihplc . blood analyser etc; alikuwa analipwa fedha sikuwa naamini kama mtu anaweza kulipwa hivyo! Ukipata training chuo kizuri, nenda!
 
Back
Top Bottom