Kuhusu confirmation code kutoka TCU

Kuhusu confirmation code kutoka TCU

Dr.philosophy

Senior Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
122
Reaction score
27
habar wakuu,Mimi nilichaguliwa selection ya pili nkwawa kama direct yaan nilpata chuo hcho tu na nilipoangalia kwa wale waliotoka kwenye multiple sikuwepo na profile zoote za vyuo nlivyoomba zilionesha kuw ckuchaguliwa isipokuw udsm campus ya MUCE .lakin cha kushangaza Leo nimeingia kwenye akaunt yangu ya udsm eti inaonesha kuwa nmechaguliwa chuo zaid ya kimoja na sasa inatakiwa codes ili niweze Ku komfirm.sasa najiulza Kuwa nawezaje kukomfirm wakat nmechaguliw chuo kmoja na system inataka nicomfirm?msaada wakuu mana Milo Mkoan huku sielew nifanyeje
 
Ta
habar wakuu,Mimi nilichaguliwa selection ya pili nkwawa kama direct yaan nilpata chuo hcho tu na nilipoangalia kwa wale waliotoka kwenye multiple sikuwepo na profile zoote za vyuo nlivyoomba zilionesha kuw ckuchaguliwa isipokuw udsm campus ya MUCE .lakin cha kushangaza Leo nimeingia kwenye akaunt yangu ya udsm eti inaonesha kuwa nmechaguliwa chuo zaid ya kimoja na sasa inatakiwa codes ili niweze Ku komfirm.sasa najiulza Kuwa nawezaje kukomfirm wakat nmechaguliw chuo kmoja na system inataka nicomfirm?msaada wakuu mana Milo Mkoan huku sielew nifanyeje
Tatizo kama lako limejitokeza kwa mwingine kwa jinsi hiyohiyo
 
habar wakuu,Mimi nilichaguliwa selection ya pili nkwawa kama direct yaan nilpata chuo hcho tu na nilipoangalia kwa wale waliotoka kwenye multiple sikuwepo na profile zoote za vyuo nlivyoomba zilionesha kuw ckuchaguliwa isipokuw udsm campus ya MUCE .lakin cha kushangaza Leo nimeingia kwenye akaunt yangu ya udsm eti inaonesha kuwa nmechaguliwa chuo zaid ya kimoja na sasa inatakiwa codes ili niweze Ku komfirm.sasa najiulza Kuwa nawezaje kukomfirm wakat nmechaguliw chuo kmoja na system inataka nicomfirm?msaada wakuu mana Milo Mkoan huku sielew nifanyeje
Tatizo kama lako na mimi pia nilikuwa mhanga wa hilo, cha kufanya wasiliana na chuo ulichochaguliwa komaa nao kama namba za wahudumu zipo hata 5 wasiliana na wote hata kama ukimpigia mmoja akakukatisha tamaaa pigia mwingine mwambie tatizo lako watalitatua fasta tu...au kama hutojali nichek kwa namba hii kwa maelezo zaidi 0757470398
 
Wadau nilikua napenda kuuliza, je ukishaconfirm kuna sms yeyote inarudi kwenye simu inayoonesha kua umeconfirm?
 
ni hivi ili kujua kua umefanikiwa kuconfirm au haujafanikiwa cha kwanza baada ya kuconfirm chuo unachokitaka itakuonesha kua umefanikisha kuconfirm hata kama code sio sahihi lakini ili kujua kua code ni sahihi au sio sahihi fungua account zako zingine ulizochaguliwa alafu angalia status yako au message kutoka chuo hicho.kama umefanikisha itakwambia "kua umeshaconfirm kwenye chuo kingine" hapo ndipo utajua kua umefanikiwa kuconfirm kwenye chuo ulichoconfirm.
 
Ningependa kuuliza kwa wadau wote wanaojua kuhusu boom la chuo.hivi hua ni kwa waliopewa mkopo tu au kwa wanachuo wote?
 
watu code hatujapata tupo mikoani tufanyeje?
 
Back
Top Bottom