Kuhusu chuo cha afya cha Tandabui jijini mwanza

Kuhusu chuo cha afya cha Tandabui jijini mwanza

Shabby kng

Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
41
Reaction score
6
Ndugu wana jf kutokana na mfumko wa vyuo vingi siku hizi ambavyo havikusajiliwa napenda kutoa hoja hii kwa yeyote mwenye ufahamu wa ndani juu ya chuo hicho kama kimesajiliwa au la maana kunadogo ananisumbua kila siku kuhusu usajili wake
 
Ndugu wana jf kutokana na mfumko wa vyuo vingi siku hizi ambavyo havikusajiliwa napenda kutoa hoja hii kwa yeyote

mwenye ufahamu wa ndani juu ya chuo
hicho kama kimesajiliwa au la maana kunadogo ananisumbua kila siku kuhusu usajili wake

Chuo hicho kimesajiliwa na mwaka huu kinatoa intake yake ya kwanza.
 
Back
Top Bottom