zetabyte
Member
- Sep 3, 2018
- 6
- 0
Habari zenu wakuu, poleni na mihangaiko ya hapa na pale natumaini mko salama na kwa wenye matatizo muumba awatengenezee yao inshallah. Thread hii ni kwa wale wenye ufahamu juu ya hii course au kwa yeyote alie chaguliwa katika course tajwa hapo juu,mimi binafsi nimechaguliwa hapo na tayari nimesha confirm japo sina ufahamu nayo ila imenibidi kufanya hivo kutokana na choices zilizo kuepo Nawasilisha kwenu wana jf kwa ushauri na michango yenu kifikra kwani naamini nipo mahala sahihi ......ahsante sana.