BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
sio wale wa wewe hiyo simu nilikununulia, afu na saa, afu na viatu.
Mkikosana wengine wanadai tena kwa matarumbeta ya kukodi
hongo tamu ni ya kusuprise, hebu fikiria unisuprise nini, ila hati ya kiwanja kibada itanifaa
Mimi hizo sizitaki kabisa maana kila siku unasikia mara zimepanda mara zimeshuka utafikiri presha au homa, bora EURO na POUND ziko constant..Dah, $ imeshuka kweli.
usiombe wa namna hii, atakuja kukudai hata kama upo mkutanoni, unatoka kichwa chini aibu tele.
Akija hapa awe anajua kuhonga sio anaishia kuhonga chips mayai na mountain dew
aaaahhahahaaaaa...! uuuuwiiii asee umeniacha mbavu zangu zinataka ku crack...! so hongo inaongeza yale feki nini..! manake kama mpaka kuhongwa ndo yatoke..! so kuna kitu kinacho yatoa au veeep..!
Khaaaa!!! Unaniangusha banaa mimi nilifikiri ungesema nikupatie portion ya mgodi wa Barrick North Marahongo tamu ni ya kusuprise, hebu fikiria unisuprise nini, ila hati ya kiwanja kibada itanifaa
Mimi hizo sizitaki kabisa maana kila siku unasikia mara zimepanda mara zimeshuka utafikiri presha au homa, bora EURO na POUND ziko constant..
hahaaaa..! so ukipata wa namna hiyo ni balaa tupu..! ila kwanini mwanamke anakubali kuhongwa ni kwamba amekubaliana na kila kitu kitakachofuatia sio..! sasa mbona wengine wanapokea hela na wakija kuombwa mafao wanakua wakali kwanini sasa alipokea hongo ya watu..?
Wewe unahonga wapi wakati mangi pale dukani anakudai kilo moja ya unga ulioenda kukopa juzi..wanaume tuwe wakweli kwenye uzi huu,hivi kuna mwanaume haongi?
Mi naona ni suala la ratio,anayepata mshahara wa laki moja kwa mwezi akihonga elfu kumi hiyo inakuwa ten percent ya income yake,bill gates wa tz (bishanga) akitoa kamilioni kwa dem ni 0.0000000001 percent ya income yangu,you see now?it is comparative meeeeeeeeen!!!!!!!
hivi umesha wahi kujiuliza kua utajisikiaje pale unapohonga demu halafu kumbe na yeye anakidume kinacho pewa hela na mapochopocho unayo mpa demu..! halafu mzee umefanya hivyo for about four years na unakuja kugundua...! daaaaahwanaume tuwe wakweli kwenye uzi huu,hivi kuna mwanaume haongi?
Mi naona ni suala la ratio,anayepata mshahara wa laki moja kwa mwezi akihonga elfu kumi hiyo inakuwa ten percent ya income yake,bill gates wa tz (bishanga) akitoa kamilioni kwa dem ni 0.0000000001 percent ya income yangu,you see now?it is comparative meeeeeeeeen!!!!!!!
Khaaaa!!! Unaniangusha banaa mimi nilifikiri ungesema nikupatie portion ya mgodi wa Barrick North Mara
Jibaba haujawahi kusikia...Kila mnyonge ana mnyonge wake kama ilivyo kwa Bosi na Bosi mwenzake...hivi umesha wahi kujiuliza kua utajisikiaje pale unapohonga demu halafu kumbe na yeye anakidume kinacho pewa hela na mapochopocho unayo mpa demu..! halafu mzee umefanya hivyo for about four years na unakuja kugundua...! daaaaah
aah uko juu..! sasa ni nini nia halisi ya kuhonga kama sio kutegemea service flani..?weweeeee kuwa mwangalifu kuhonga si kupata utakacho. Tena ukimkuta mwanamke mstaarabu na hakutaki hongo yako hapokei. Na kama mu marafiki usimhonge halafu ukataka utamu hawapendi, huleta hisia kama unanunua service unaweza kutolewa mbio. Hongo inastep zakeza kutoa kikubwa usiwe na mkono wa birika wala moyo wa korosho ukitoa usijutie, ukitoa uxidai , ukitoa ustzke malipo
hahaaaa..! so ukipata wa namna hiyo ni balaa tupu..! ila kwanini mwanamke anakubali kuhongwa ni kwamba amekubaliana na kila kitu kitakachofuatia sio..! sasa mbona wengine wanapokea hela na wakija kuombwa mafao wanakua wakali kwanini sasa alipokea hongo ya watu..?
wanaume tuwe wakweli kwenye uzi huu,hivi kuna mwanaume haongi?
Mi naona ni suala la ratio,anayepata mshahara wa laki moja kwa mwezi akihonga elfu kumi hiyo inakuwa ten percent ya income yake,bill gates wa tz (bishanga) akitoa kamilioni kwa dem ni 0.0000000001 percent ya income yangu,you see now?it is comparative meeeeeeeeen!!!!!!!
wakati unafukuzia si lazima ulipwe ile huwa 'nahonga kwa ajili ya point na si kukamua'hii husaidia kuwashinda kompetitaz wengine
ila baada ya makubaliano unahonga kuweka munkari kwenye penzi
hivi umesha wahi kujiuliza kua utajisikiaje pale unapohonga demu halafu kumbe na yeye anakidume kinacho pewa hela na mapochopocho unayo mpa demu..! halafu mzee umefanya hivyo for about four years na unakuja kugundua...! daaaaah