polisi wafanya mabadiliko kwa kumhamisha masawe toka kanda maalum ya kipolisi ya Tarime -Rorya kwenda Tanga je amejbu kwanini waliiba miili ya maeheemu na kui dump barabarani na mauji waliyooyaffanya vip
Kwa utaratibu makamanda na askari hawatakiwi kukaa muda mrefu sehemu moja. Hivyo inawezekana ni mzunguko wa kawaida tu. After all massawe hana tatizo kwani yeye anapokea amri tu. Lakini tuendelee na uchunguzi yakinifu kujua ni kawaida au la.
Kwa utaratibu makamanda na askari hawatakiwi kukaa muda mrefu sehemu moja. Hivyo inawezekana ni mzunguko wa kawaida tu. After all massawe hana tatizo kwani yeye anapokea amri tu. Lakini tuendelee na uchunguzi yakinifu kujua ni kawaida au la.