Kuhamia Dodoma: Haya ndio mateso kwa wananchi,watumishi na tanuru la kuchoma kodi

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,437
14,927
Huu mradi wa kuhamia dodoma ulianza kuimbwa miaka kadhaa iliyopita lakini haukuwahi kufanikiwa,kimsingi,ulibaki vitabuni tu.

Hatimaye miujiza imetokea,na sasa serikali,kidogo iko dodoma kwa ajili ya Ku satisfy daftari la mahudhurio.

Kinachotokea ni nini?

Waziri,katibu mkuu,naibu katibu mkuu,na baadhi ya wakurugenzi wako dodoma,wataalam wengi waliobaki wako Dar es salaam,hawa watu wanafanyaje kazi bila wataalamu wao.Hapa ndipo posho hunoga,

Mawaziri,katibu wakuu na baadhi ya wakuu wa idara huja Dar es salaam kuhudumia wataalamu waliowaacha,watakaa Dar kama wiki moja, wakila posho zao Nene,baadae hurudi Dodoma,

Wakati huo huo wataalam nao hupishana njiani,huyu anaenda Dodoma yule anarudi kupeleka na kurudisha nyaraka mbali mbali.

Kwa wananchi je? Mwananchi anafika Dodoma ana shida na waziri au katibu mkuu au mkuu wa idara fulani, anajihimu,anapanda basi mpaka Dodoma analala,asubuhi anaamkia wizarani, salaalee!!anaambiwa waziri yuko Dar na atakaa wiki moja,kama unaweza mfate,anapanda basi tena(gharama)anafika Dar anakutana na waziri,waziri anamkabidhi kwa wataalam,wanamhudumia,wakimaliza,wanamwambia hili suala lazima lipitishwe na katibu mkuu,kama unaweza rudi Dodoma....


Upande wa majengo,sasa asilimia zaidi ya 98 ya wizara zote zimepanga majengo(kwenye bajeti ilikuwemo?) Wale maofisa nao waliostahili nyumba wamepangishiwa Dodoma na wameacha Nyumba zao tupu Dar es salaam....kodi inalika.

Sasa kila siku Barua inafika Dar inapelekwa Dodoma ...inarudi Dar....gharama za usafirishaji.

Nadhani haya ni mateso ambayo yatafuatiwa na bajeti ya ujenzi wa majengo ya ghorofa kwa ajili ya wizara huko dodoma kuanzia mwakani wakati pesa hiyo ingefaa kuboresha afya,maji na elimu.

Kiuchumi,hakuna tija kuhamia Dodoma ....kuhamia Dodoma hakuongezi pato la taifa,

Kiusalama kuhamia dodoma hakuna tija ....siku hizi kuna inter continental ballistic missile,mtu kakaa baharini anarusha kombora kigoma.

Kama taifa ....hatujaambiwa eti viongozi wakikaa dodoma ndio tutapata maisha bora.

Kuhamia Dodoma nakufananisha na kujenga Nyumba kwa tofali za barafu!!!
 
japo mimi siipendi ccm.. ila kuamia dodoma ni uamuzi wa busara sana...

wizara zinahudumia nchi nzima... kuna mikoa kutoka huko hadi kufika dar ni mbali sana.. angalau dodoma inafikika na mtu anaetoka mkoa wowote kiurahisi..

changamoto ni kawaida tu.. hata ukiwa unahama nyumba moja kuhamia nyingine sio rahisi....

within 3 yrs wizara zitakuwa zimeseto dodoma zinaaendelea na huduma huko...

unafikiri zikikaaa dar kuogopa changamoto dodoma wataamia kweli?? wahame tu
 
japo mimi siipendi ccm.. ila kuamia dodoma ni uamuzi wa busara sana...

wizara zinahudumia nchi nzima... kuna mikoa kutoka huko hadi kufika dar ni mbali sana.. angalau dodoma inafikika na mtu anaetoka mkoa wowote kiurahisi..

changamoto ni kawaida tu.. hata ukiwa unahama nyumba moja kuhamia nyingine sio rahisi....

within 3 yrs wizara zitakuwa zimeseto dodoma zinaaendelea na huduma huko...

unafikiri zikikaaa dar kuogopa changamoto dodoma wataamia kweli?? wahame tu
Dar inafikika kutoka kokote.

Pia hakukuwa na haja ya uharaka,kipindi wamezuia kwa muda kuhamia Dodoma walikuwa wanafanya nini na mpaka sasa wameongeza nini?
 
Huu mradi wa kuhamia dodoma ulianza kuimbwa miaka kadhaa iliyopita lakini haukuwahi kufanikiwa,kimsingi,ulibaki vitabuni tu.

Hatimaye miujiza imetokea,na serikali,kidogo iko dodoma kwa ajili ya Ku satisfy daftari la mahudhurio.

Kinachotokea ni nini?

Waziri,katibu mkuu,naibu katibu mkuu,na baadhi ya wakurugenzi wako dodoma,wataalam wengi waliobaki wako Dar es salaam,hawa watu wanafanyaje kazi bila wataalamu wao.Hapa ndipo posho hunoga,

Mawaziri,katibu wakuu na baadhi ya wakuu wa idara huja Dar es salaam kuhudumia wataalamu waliowaacha,watakaa Dar kama wiki moja, wakila posho zao Nene,baadae hurudi Dodoma,

Wakati huo huo wataalam nao hupishana njiani,huyu anaenda Dodoma yule anarudi kupeleka na kurudisha nyaraka mbali mbali.

Kwa wananchi je? Mwananchi anafika Dodoma ana shida na waziri au katibu mkuu au mkuu wa idara fulani, anajihimu,anapanda basi mpaka Dodoma analala,asubuhi anaamkia wizarani, salaalee!!anaambiwa waziri yuko Dar na atakaa wiki moja,kama unaweza mfate,anapanda basi tena(gharama)anafika Dar anakutana na waziri,waziri anamkabidhi kwa wataalam,wanamhudumia,wakimaliza,wanamwambia hili suala lazima lipitishwe na katibu mkuu,kama unaweza rudi Dodoma....


Upande wa majengo,sasa asilimia zaidi ya 98 ya wizara zote zimepanga majengo(kwenye bajeti ilikuwemo?) Wale maofisa nao waliostahili nyumba wamepangishiwa Dodoma na wameacha Nyumba zao tupu Dar es salaam....kodi inalika.

Sasa kila siku Barua inafika Dar inapelekwa Dodoma ...inarudi Dar....gharama za usafirishaji.

Nadhani haya ni mateso ambayo yatafuatiwa na bajeti ya ujenzi wa majengo ya ghorofa kwa ajili ya wizara huko dodoma kuanzia mwakani wakati pesa hiyo ingefaa kuboresha afya,maji na elimu.

Kiuchumi,hakuna tija kuhamia Dodoma ....kuhamia Dodoma hakuongezi pato la taifa,

Kiusalama kuhamia dodoma hakuna tija ....siku hizi kuna inter continental ballistic missile,mtu kakaa baharini anarusha kombora kigoma.

Kama taifa ....hatujaambiwa eti viongozi wakikaa dodoma ndio tutapata maisha bora.

Kuhamia Dodoma nakufananisha na kujenga Nyumba kwa tofali za barafu!!!
mkuu usituharibie fursa ya kuwapangisha kwa gharama za.juu mabanda yetu
pango mwanzo ilikuwa elfu 30 room kwa mwezi nalipwa miezi mi 3,sasa 70 elfu kwa room mtu ananilipa ya miaka 2
 
Mtoa hoja ni mgonjwa wa kufikiri. Anajiangalia mwenyewe tu. Hoja zake hazina mashiko. Ni hewa tu. Uamuzi wa kuhamia Dodoma ni uamuzi wa busara sana. JPM ametumwa na Mungu kutekeleza hili.Wafanyakazi wanaopinga waache kazi. Mitaani kuna watu wengi hawana ajira na ni wasomi wazuri tu.
 
Wacha dodoma waingiliwe nao waanze kujua maana ya ugumu wa maisha sio kukaa omba omba na kubweteka na maisha.....

nafikiri watanielewa wakianza kupanda tax kwa elfu 10 baada ya elfu 5 waliozoea.....
 
Mtoa hoja ni mgonjwa wa kufikiri. Anajiangalia mwenyewe tu. Hoja zake hazina mashiko. Ni hewa tu. Uamuzi wa kuhamia Dodoma ni uamuzi wa busara sana. JPM ametumwa na Mungu kutekeleza hili.Wafanyakazi wanaopinga waache kazi. Mitaani kuna watu wengi hawana ajira na ni wasomi wazuri tu.
Aiseee
 
Uamuzi wa kuhamia idodomya kidharura dharura ni wa kisiasa zaidi kuliko vinginevyo. Yaani ni ili kuwe legacy ambayo imeonekana ngumu kwa watangulizi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Acha unafiki hivi unafikiri kuogopa changamoto ndio kutasaidia, na nani alikuambia kuwa kila Wizara zilimiki majengo ya ofisi na hazikupanga? Vijana acha unafiki kisa unajifunza kutumka smartphone
 
Uliyoyaongea ni ukweli mtupu.Wakurugenzi wa Taasisi na Mashirika ya umma hivi sasa baadhi yao watalazimika kuja Dodoma mara kwa mara kuonana na ma-boss wao(Makatibu Wakuu wa Wizara) walioko Dodoma kwahiyo ni shida tupu na usumbufu kwa watu na ni gharama maana CEO na dereva wake watahitaji kulipwa per-diem.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
so kisa per diem ndio wasihamie milele?????

mbona hamna jema binadamu


Uliyoyaongea ni ukweli mtupu.Wakurugenzi wa Taasisi na Mashirika ya umma hivi sasa baadhi yao watalazimika kuja Dodoma mara kwa mara kuonana na ma-boss wao(Makatibu Wakuu wa Wizara) walioko Dodoma kwahiyo ni shida tupu na usumbufu kwa watu na ni gharama maana CEO na dereva wake watahitaji kulipwa per-diem.
 
Acha unafiki hivi unafikiri kuogopa changamoto ndio kutasaidia, na nani alikuambia kuwa kila Wizara zilimiki majengo ya ofisi na hazikupanga? Vijana acha unafiki kisa unajifunza kutumka smartphone
Hivi nchi hii hamjui kuwa kuna watoto wanakaa chini huku madarasa yao yakiwa yameezakwa kwa nyasi huku watoto wa hawa wakubwa wanaofanya maamuzi wanasoma nje ya nchi na wengine katika mashule ya gharama ya hapa nchini?

Hujawahi sikia watu wana-share maji na mifugo kutokana na shida ya maji huko vijijini?

Nyinyi ni ndio kweli mnajali wanyonge?!

Acheni kuwa wanafiki na wabinafsi!
 
Huu mpango ingawa unaoneka ni kukurupuka,lakini ni moja ya maamuzi magumu yenye manufaaa mbayo tutakuja kumpongeza Rais Magufuli siku zijazo.
Litle by litle the snake reaches home. Lets match to the promised land.
 
Watu wanatafuta njia za kuendelea kula tu.. Afu Waziri mzima anajitangaza kahamia Dodoma wakati anaishi na kufanyakazi kwenye majengo ya chuo
 
Nasubiri wizara ya ujenzi na utumishi waje kwenye bajeti watwambie wametenga mamia ya mabilioni kuhamia Dodoma.

Mradi wa hasara tu
 
Uliyoyaongea ni ukweli mtupu.Wakurugenzi wa Taasisi na Mashirika ya umma hivi sasa baadhi yao watalazimika kuja Dodoma mara kwa mara kuonana na ma-boss wao(Makatibu Wakuu wa Wizara) walioko Dodoma kwahiyo ni shida tupu na usumbufu kwa watu na ni gharama maana CEO na dereva wake watahitaji kulipwa per-diem.
KWANI KINACHO WASHINDA HAO WAKURUHWENZI KUHAMIA DODOMA NINI HADI WAAMUE NENDA RUDI YA DAR - DOM
 
Kwa wananchi je? Mwananchi anafika Dodoma ana shida na waziri au katibu mkuu au mkuu wa idara fulani, anajihimu,anapanda basi mpaka Dodoma analala,asubuhi anaamkia wizarani, salaalee!!anaambiwa waziri yuko Dar na atakaa wiki moja,kama unaweza mfate,anapanda basi tena(gharama)anafika Dar anakutana na waziri,waziri anamkabidhi kwa wataalam,wanamhudumia,wakimaliza,wanamwambia hili suala lazima lipitishwe na katibu mkuu,kama unaweza rudi Dodoma....

!

Wananchi wangapi ambao hupata huduma moja kwa moja toka wa Waziri au Katibu Mkuu? Au unaongelea wapiga dili?
 
Back
Top Bottom