HAHAAAAAAAAAAAA! You wish asingekuwepo? FYI For all my life i thank God kwa kunipendelea vingi kuanzia Sura mpaka Brain (Ni kweli wanawake wengi wazuri hawanaga akili kutokana na theory ya XXX, XX, XXY chromosomes kwa madoctor wanannisoma! Bt im unique) SO ALL MY LIFE I HABE BEEN AND STILL AM ABLE TO GET ANY MAN OF MY WISHES DESPITE ANYTHING!!!!!!!!!!! NO MAN CAN SAY NO TO ME!!!!!!!!!!! ROGER THAT!!!!!!!!!!!!!!
Nikisema hata kesho niolewe nina watu zaidi 10 wako standby wananilamba miguu wanioe! Bt i wont waste my precious age, youth and moments for any Man!!!!!!!!!!! Sinki na jiko were not cut out for me! I was born to conquer and lavish myself and I WONT AND WILL NEVER ACCEPT ANY OTHER FATE FOR ME!!!!!!!!!!!! NEVER! Maybe untill im 30
The Million Dollar question is AFTER MARRIAGE THEN WHAT?????????? (OBVIOUSLY ITS JUST LIFE!!!!!! Too boring for my liking)
IM LIVING TO THE FULLEST!!!!!!!!!!! Sitaki kuzeeka nimelala na wanaume 2 au 3 wasio na vigezo!!!!!!!!!! Jst out of courtesy cause they asked me!!!!!!!! PALEASEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!! Im doing my own hunting!
Hamaaaaaaa ufaidi maisha! Ukiolewa hapo hapo utazeekaje sasa? Utatoka jela 1 kwenda ingine! Akuuuuuuuuu! Kuwa na kwako kuna rahaa!
Tena anaesusa ni bi mkubwa wako uongo? Mwenyewe bi mkubwa wangu aligoma kabisaaa mimi kuhama mpaka tulipokubaliana mshahara wangu awe anauchukua yeye! Hapo swadaktaaaaaaa! Alikuwa anahisi nikiishi mwenyewe nitafujafuja mapesa na kumuongezea gharamaaa. Kumbe walaaaaa!
Ungekuwa mtoto wa kiume ningekushauri uhame.
Ila wewe dada subiri uolewe! Ila kama plans zako sio kuolewa hakikisha unajipanga then ndio uhame
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
For sure siko peace kuendelea kubaki. Ukirudi saa moja unamkuta amenuna then anakugombeza. Ananiambia kama kazi ni kuchelewa hatanielewa.... for me napata wakati mgumu kwa kweli
Me nakushauri usihame kama mzazi hajaridhia,jitahidi umshawishi akubali ndio uhame
Au tafuta kazi mkoa mwingine ili iwe kigezo cha kuhama.Lakini kuhama bila baraka sikushawishi maana yalishamkumba sis wangu alihama kwa zogo za mshua matokeo yake alienda kuishia pabaya na sasa amerudi home karibu miaka 10 sasa maana alirudi kuuguzwa
Kama vipi wewe kaa tu save pesa nunu plot anza kujenga taratibu
Hamaaaaaaa ufaidi maisha! Ukiolewa hapo hapo utazeekaje sasa? Utatoka jela 1 kwenda ingine! Akuuuuuuuuu! Kuwa na kwako kuna rahaa!
Tena anaesusa ni bi mkubwa wako uongo? Mwenyewe bi mkubwa wangu aligoma kabisaaa mimi kuhama mpaka tulipokubaliana mshahara wangu awe anauchukua yeye! Hapo swadaktaaaaaaa! Alikuwa anahisi nikiishi mwenyewe nitafujafuja mapesa na kumuongezea gharamaaa. Kumbe walaaaaa!