Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Kinyume na ngebe za CUF na CCM kuwa wao ndiyo watagawana kura za huko taarifa za uhakika nilizozipata kwa wapenda maendeleo wa huko wangependa Dr. Slaa angalau afike makao makuu ya mikoa hiyo kabla ya uchaguzi kufunga dili ya kiutu uzima.
Taarifa hizo zinasema wakaazi wa mikoa hiyo wamechoshwa na ahadi za JK za kusisitiza matatizo yao anayafahamu sana bila ya kuwaelezea ufahamu huo umemsaidia nini na kwa nini sasa anataka waendelee kumwamini tena kwa miaka mitano ijayo wakati ameshindwa kuzitekeleza hata ahadi zake za miaka mitano iliyopita haswa kwenye eneo la uchimbaji wa visima vya maji ambapo ndicho kikwazi kikubwa cha maendeleo kwa mikoa hiyo............
Kinyume na ngebe za CUF na CCM kuwa wao ndiyo watagawana kura za huko taarifa za uhakika nilizozipata kwa wapenda maendeleo wa huko wangependa Dr. Slaa angalau afike makao makuu ya mikoa hiyo kabla ya uchaguzi kufunga dili ya kiutu uzima.
Taarifa hizo zinasema wakaazi wa mikoa hiyo wamechoshwa na ahadi za JK za kusisitiza matatizo yao anayafahamu sana bila ya kuwaelezea ufahamu huo umemsaidia nini na kwa nini sasa anataka waendelee kumwamini tena kwa miaka mitano ijayo wakati ameshindwa kuzitekeleza hata ahadi zake za miaka mitano iliyopita haswa kwenye eneo la uchimbaji wa visima vya maji ambapo ndicho kikwazi kikubwa cha maendeleo kwa mikoa hiyo............
Weee huko hafiki, unataka akaaibike? Wacha tu kule kuna wenye akili wasioshawishika na makanisa.
Kanisa limetoa taarifa kuwa kazi ya kuwadanganya watu wa huko haijakamilika sasa aende kufanya nini?
Sijui pengine tar 30.10.
Kinyume na ngebe za CUF na CCM kuwa wao ndiyo watagawana kura za huko taarifa za uhakika nilizozipata kwa wapenda maendeleo wa huko wangependa Dr. Slaa angalau afike makao makuu ya mikoa hiyo kabla ya uchaguzi kufunga dili ya kiutu uzima.
Taarifa hizo zinasema wakaazi wa mikoa hiyo wamechoshwa na ahadi za JK za kusisitiza matatizo yao anayafahamu sana bila ya kuwaelezea ufahamu huo umemsaidia nini na kwa nini sasa anataka waendelee kumwamini tena kwa miaka mitano ijayo wakati ameshindwa kuzitekeleza hata ahadi zake za miaka mitano iliyopita haswa kwenye eneo la uchimbaji wa visima vya maji ambapo ndicho kikwazi kikubwa cha maendeleo kwa mikoa hiyo............
kuna madrasa al rasul na wajingaWeee huko hafiki, unataka akaaibike? Wacha tu kule kuna wenye akili wasioshawishika na makanisa.
Kanisa limetoa taarifa kuwa kazi ya kuwadanganya watu wa huko haijakamilika sasa aende kufanya nini?
Sijui pengine tar 30.10.
weee huko hafiki, unataka akaaibike? Wacha tu kule kuna wenye akili wasioshawishika na makanisa.
Kanisa limetoa taarifa kuwa kazi ya kuwadanganya watu wa huko haijakamilika sasa aende kufanya nini?
Sijui pengine tar 30.10.
Ni kweli mkuu.
Ushauri wako ni muhimu sana ukazingatiwa. Hata kama atatumia siku 1 kwa kila mkoa yaani Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani na Dar itasaidia sana kutibua kampeni ya Kiwete aliyofanya juzijuzi katika mikoa hiyo.
Zenji hata asipoenda haitakuwa ni tatizo