Mzinzi mkubwa wewe.Yani acha tu maana mie hata picha yako kila nikiiona napata hisia flani flani amazing sana. Ni kitu kipo automatic tu nadhani, hebu nifanyie wepesi basi nikuwe soja boy wako manzee
Baada ya kukwambia hivyo umechukua hatua gani?Habari za wakati huu ni mbaya..
Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpenini haridhiki... Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana.. kikubwa ni kuomba tuu Mungu usigongewe mke cz inauma sana na mke anauma sana aisee najua maomivu yake mimi eti.. Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi
Nb..mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti ni samehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Mi nakwambia jinsi ambavyo mtu anampenda mkewe lazma atafanya hilo kijasusi mno.Thubutuuu, mnachepuka Hadi tunajua.....mfano Kuna mtu namjua alimfuma mume anachepuka, wakayaongea yakaisha, kumbe mume anaendelea na yule mchepuko....imepita miaka mitatu anagundua mume bado yupo na yule mchepuko.....bibie kuondoka hawezi anadai watoto watateseka......Sasa hapo akichagua mmoja kati ya wanaomtongoza akaamua kumsusia hotel apoze machungu, atalaumiwa?😂
Sasa mie kueleza hisia zangu nakuwaje mzinzi jaman. You are attractive and i wanna tame you girl. Dont make it so hard mamii!Mzinzi mkubwa wewe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hell yeah that little itty bitty short azz muthafucka mane!!! Hivi yupo bado au ulishamkick to the curbs 😀Yupi huyo hahahhahahahahahhahahahhshahshahahahshhshahsahaha ?
Yule uliyekuwa unamwita muthafaka?
Shida ni kuwa kampa mawazo na uchunguKama hajakupa Ngoma , Gono au Kaswende sioni shida
Ok, sawa, sisi wanaume ni wazinzi sana, sawa..!! LAKINI JE, TUNAZINI NA AKINA NANI?Mngekuwa mnachepuka kwa siri sana tusingejua. Nyie mna siri gani mnachepuka wazi wazi yaani waaazi.
Ila nyie wanaume ni wazinzi sana sijui mna shida gani. Yaani nyie msione mwanamke tu nyege zimewashika. Msisafiri hata mlale lodge wenyewe mkiona kitanda nyege zinawakamata.
Hivi mna nini nyie.?
Once a Cheater always a cheaterBaada ya kukwambia hivyo umechukua hatua gani?
Kama shida ni tamaa za kimwili, it means ww huwezi kuzitatua, ndio maana kaenda nje. Swali ni je, anavyoomba msamaha, lengo ni usimuache, anamaanisha kuanzia sasa utaweza kuzitatua?
Siwezi kukushauri Nini cha kufanya,uhamuzi ni wako. Ila kwa upande wangu, pakiwa na weakness iliyopelekea cheating ambayo naweza kuirekebisha, basi huwa narekebisha then maisha yanaendelea. Ila kama chanzo cha kucheat siwezi kukirekebisha, basi huwa tunapeana mkono wa kwaheri. Maana soon or later yatajirudia yale Yale, maana tatizo halikuwa solved.
Yeah sure. Ukisamehe, anahisi anakuweza 😅😅😅Once a Cheater always a cheater
Hainaga makombo hiyo wee ni kujilia wakati wako ukipewaNdio maana wagumu mnadumu, huyu mwenzenu analia utafikiri wameondoka nayo wakati wamemuachia na utamu ni ule ule.
Kwahiyo wewe hauwezi kukubali mwanamke mzuri akupite ni hadi utake kuteleza kwenye utelezi wake?Sasa mie kueleza hisia zangu nakuwaje mzinzi jaman. You are attractive and i wanna tame you girl. Dont make it so hard mamii!
We naona unataka kumuua mwenzio... 😀😀😀Aisee pole sana, kunywa mililita za ujazo 1000 za double kick , yaani double kick 5 utasahau hayo maumivu
View attachment 2537803
Hahahhahaha ***** zake mshirikina sana yule.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hell yeah that little itty bitty short azz muthafucka mane!!! Hivi yupo bado au ulishamkick to the curbs [emoji3]
Mwe! Ulitendwa nini?Kama mimi. Yaani hapa nasoma hii mada nikichekelea meno yote nje.
Mnazini wa wanawake walio single huku nyie mmeoa.Ok, sawa, sisi wanaume ni wazinzi sana, sawa..!! LAKINI JE, TUNAZINI NA AKINA NANI?
Comment yako iwekewe lamination tuisome kwenye kikao chetu WANAUME sio wavulana,Baada ya kukwambia hivyo umechukua hatua gani?
Kama shida ni tamaa za kimwili, it means ww huwezi kuzitatua, ndio maana kaenda nje. Swali ni je, anavyoomba msamaha, lengo ni usimuache, anamaanisha kuanzia sasa utaweza kuzitatua?
Siwezi kukushauri Nini cha kufanya,uhamuzi ni wako. Ila kwa upande wangu, pakiwa na weakness iliyopelekea cheating ambayo naweza kuirekebisha, basi huwa narekebisha then maisha yanaendelea. Ila kama chanzo cha kucheat siwezi kukirekebisha, basi huwa tunapeana mkono wa kwaheri. Maana soon or later yatajirudia yale Yale, maana tatizo halikuwa solved.
Wakati unakunywa chai uitafakari mada. Mke wa mtu kuchepuka hupelekea mauti, chagua kutokuchepuka ili kuepusha maafaNjaa inaniuma mie ngoja nikanywe chai.....ndoa bhana!🤭
Mpe utelezi jamani hannahKwahiyo wewe hauwezi kukubali mwanamke mzuri akupite ni hadi utake kuteleza kwenye utelezi wake?