Acha kulia lia wewe. Unataka kuolewa au?Habari za wakati huu ni mbaya..
Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpenini haridhiki... Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana.. kikubwa ni kuomba tuu Mungu usigongewe mke cz inauma sana na mke anauma sana aisee najua maomivu yake mimi eti.. Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi
Nb..mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti ni samehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
NAKAZIA,na uzi ufungweKama hajakupa Ngoma , Gono au Kaswende sioni shida
Ndio maana wagumu mnadumu, huyu mwenzenu analia utafikiri wameondoka nayo wakati wamemuachia na utamu ni ule ule.NAKAZIA,na uzi ufungwe
Kiukweli hilo la kugongewa sahiv haliwez nisumbua sana,hata ikitokea nitalichukulia simpo tu
Na ukute alimuoa akiwa hana bikraNdio maana wagumu mnadumu, huyu mwenzenu analia utafikiri wameondoka nayo wakati wamemuachia na utamu ni ule ule.
Wao wanagonga nje balaa, wanawake Wala hatuchanganyikiwi hivi.....ila sisi tukisema tuonjeshe nje kidogo tu wanapagawa🤣Nikiona mwanaume kaguswa panapouma nafurahi😀😀😀
Kama mimi. Yaani hapa nasoma hii mada nikichekelea meno yote nje.Nikiona mwanaume kaguswa panapouma nafurahi[emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe inauma. Mbona nyie hamjali hisia zetu wakati mnachepuka?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ngoma ngumu hio, hata baunsa analegea akiskia kagongewa.
Tunajali sana na ndio maana tunachepuka kwa siri sana. Ni wazembe wachache sana ambao huona sifa kuchepuka hadharani.Kumbe inauma. Mbona nyie hamjali hisia zetu wakati mnachepuka?
Ila mi ntajiskia faraja sana nikimsaidia baadhi ya majukumu yule bwana mdogo 😀😀😀, hebu tufanye linalowezekana mrembo.Kama mimi. Yaani hapa nasoma hii mada nikichekelea meno yote nje.
Mngekuwa mnachepuka kwa siri sana tusingejua. Nyie mna siri gani mnachepuka wazi wazi yaani waaazi.Tunajali sana na ndio maana tunachepuka kwa siri sana. Ni wazembe wachache sana ambao huona sifa kuchepuka hadharani.
Ila si mlisema atafute hela jamaa alikuwa busy kuzitafuta hela. 😀Wakati mwingine mnasababisha wenyewe alafu mnalalamika
Yupi huyo hahahhahahahahahhahahahhshahshahahahshhshahsahaha ?Ila mi ntajiskia faraja sana nikimsaidia baadhi ya majukumu yule bwana mdogo [emoji3][emoji3][emoji3], hebu tufanye linalowezekana mrembo.
Dah..pole mkuu.. ila mwache, wako wengi sana. AtakuuaHabari za wakati huu ni mbaya..
Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpenini haridhiki... Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana.. kikubwa ni kuomba tuu Mungu usigongewe mke cz inauma sana na mke anauma sana aisee najua maomivu yake mimi eti.. Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi
Nb..mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti ni samehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Thubutuuu, mnachepuka Hadi tunajua.....mfano Kuna mtu namjua alimfuma mume anachepuka, wakayaongea yakaisha, kumbe mume anaendelea na yule mchepuko....imepita miaka mitatu anagundua mume bado yupo na yule mchepuko.....bibie kuondoka hawezi anadai watoto watateseka......Sasa hapo akichagua mmoja kati ya wanaomtongoza akaamua kumsusia yote apoze machungu, atalaumiwa?😂Tunajali sana na ndio maana tunachepuka kwa siri sana. Ni wazembe wachache sana ambao huona sifa kuchepuka hadharani.
Yani acha tu maana mie hata picha yako kila nikiiona napata hisia flani flani amazing sana. Ni kitu kipo automatic tu nadhani, hebu nifanyie wepesi basi nikuwe soja boy wako manzeeMngekuwa mnachepuka kwa siri sana tusingejua. Nyie mna siri gani mnachepuka wazi wazi yaani waaazi.
Ila nyie wanaume ni wazinzi sana sijui mna shida gani. Yaani nyie msione mwanamke tu nyege zimewashika. Msisafiri hata mlale lodge wenyewe mkiona kitanda nyege zinawakamata.
Hivi mna nini nyie.?
Time heals everything."When women cheat, it's premeditated." Na ndio itauma sana tu. Y'all be good tho.