The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,995
- 13,509
Hivi karibuni, rais Samia alitoa baiskeli kibao.
Je hii siyo rushwa?
Je hii pesa ndiyo inafanya tukope sana?
Je rais kaipata wapi tena kihalali pesa hii?
Je ananunua nini zaidi ya kura?
Je hapa kutakuwa na haki?
Je anatufundisha nini?
Je anaogopa nini hadi ahonge?
Je hii siyo rushwa?
Je hii pesa ndiyo inafanya tukope sana?
Je rais kaipata wapi tena kihalali pesa hii?
Je ananunua nini zaidi ya kura?
Je hapa kutakuwa na haki?
Je anatufundisha nini?
Je anaogopa nini hadi ahonge?