Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Jumuiya ya kimataifa imeshangazwa na kitendo cha ofisi ya mkugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) nchini Tanzania kufunga jalada la uchunguzi la Ndg.Ben Saanane na kukiri kwamba imeshindwa kupata taarifa za kuwezesha kupatikana kwake.
...
Ripoti ya mkutano wa kimataifa wa Haki za binadamu uliomalizika mwishoni mwa wiki (ambapo suala la Ben lilijadiliwa), inaonesha kuwa mkutano huo haukuridhishwa na namna suala la Ben lilivyohitimishwa kufuatia ofisi ya DCI kufunga jalada la uchunguzi huku kukiwa na sintofahamu juu ya kupotea kwake.
Mwezi uliopita ofisi ya DCI ilitoa taarifa kuwa imefunga rasmi jalada la uchunguzi la Ndg.Ben Saanane baada ya kukosa taarifa zozote zinazoweza kufanikisha kupatikana kwake.
Ben amepotea takribani miezi minne sasa.!
Malisa GJ
-Mwenyekiti UTG
...
Ripoti ya mkutano wa kimataifa wa Haki za binadamu uliomalizika mwishoni mwa wiki (ambapo suala la Ben lilijadiliwa), inaonesha kuwa mkutano huo haukuridhishwa na namna suala la Ben lilivyohitimishwa kufuatia ofisi ya DCI kufunga jalada la uchunguzi huku kukiwa na sintofahamu juu ya kupotea kwake.
Mwezi uliopita ofisi ya DCI ilitoa taarifa kuwa imefunga rasmi jalada la uchunguzi la Ndg.Ben Saanane baada ya kukosa taarifa zozote zinazoweza kufanikisha kupatikana kwake.
Ben amepotea takribani miezi minne sasa.!
Malisa GJ
-Mwenyekiti UTG