Taarifa zaidi zinahitajika hapa, simu ikiwa imezimwa wakati unaiwasha inawaka hadi mwisho kwenye wallpaper ya screen ndiyo inaomba password au inaomba password kwanza harafu ndiyo inawaka hadi mwisho?
Kama inawaka hadi mwisho zoezi hilo linawezekana, ila kama inaomba password katikati ya kuwaka ndiyo imalizie kuwaka hapo haiwezekani.