Kuingia kwa wingi kwa simu za mchina na kuwa bei nafuu ndio imekuwa suluhisho kwa vibaka.Kwani mtu anaona kwa nini anunue mkononi wakati anajua hata dukani atapata kwa bei poa. Pia hata kibaka mwenyewe anaona kwanini arisk maisha kwa sim zilizoshuka bei.