Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,254
Ndio maana unaanzisha mada na kujijibu mwenyewe. Nani alikwambia wanaweka peacock kujificha?
Mimi nafikiri ni suala la kupendeza. Na kwa taarifa yako kuna watoto wa umri wako wana mvi
Hivi ukiwa na mvi wachukiza!!!!!!!!!!!!!!! Mie ninazo kibao lakini naona niko fiti tu...na hao wanaona lengo ni kupendeza ili iweje?..............wanalenga kumvuta nani?
Tusitaifishe mambo binafsi......kuwa na mvi au kutukuwa nazo ni jambo binafsi
Sometimes mvi si uzee, zipo za ukoo na wakati mwingine ni kweli hu-reflect umri wa mtu. Ila sioni kama kuna tatizo kama mtu akiwa anajipenda akaamua kupaka hizo dawa za kufanya nywele ziwe nyeusi. Kujipenda hakumaanishi kuwa mtu unaficha umri.
Ila kwa wale wenye tabia za kuweka dawa kwa kuficha umri, hilo ni tatizo, wanapaswa kujirekebisha maana hizo ni dalili za uharibifu kwa vijana wetu.
Kila mtu ana mtazamo wake na kupendeza ni utashi wa mtu kwa hiyo sijui wewe ni nani hadi watu wakitaka kupendeza waombe ruhusa kwako na watoe maandishi ya kuwa wanalenga kumvutia nani.
Kwani wewe unataka wasipendeze ili iweje?
Sometimes mvi si uzee, zipo za ukoo na wakati mwingine ni kweli hu-reflect umri wa mtu. Ila sioni kama kuna tatizo kama mtu akiwa anajipenda akaamua kupaka hizo dawa za kufanya nywele ziwe nyeusi. Kujipenda hakumaanishi kuwa mtu unaficha umri.
Ila kwa wale wenye tabia za kuweka dawa kwa kuficha umri, hilo ni tatizo, wanapaswa kujirekebisha maana hizo ni dalili za uharibifu kwa vijana wetu.
wahahribifu wa mazingira utawaona tu.............ni vigumu kujificha.......
mbona unakwepa kujibu swali.......itabidi nilirudie...................ukiwa na mvi hupendezi?
mkuu ruta mimi ndio nakaribia kugonga 30yr lakini nazipenda coz zilinianza tangu nikiwa form two.....problem which i face nikiwa nimekaa mtu akitokea kwa nyuma asipokuwa makini lazima anipe shikamoo kuna siku mke wa boss wangu kanipa shikamoo nikazuga kuipotezea palikuwa apatoshi the next day boss akaniuliza mbona uwa siwek super black.ninapenda kupokea shikamooo wala sijuti kuwa na mamviiiiii....
mbona unakwepa kujibu swali.......itabidi nilirudie...................ukiwa na mvi hupendezi?
Unajua wewe unashangaza sana! Hebu nijibu haya maswali yangu bila unafiki wala kuleta kujua:
Hivi nyumba yako inapokaa miaka mingi mpk rangi zikafubaa na ukaamua kuipaka rangi, pengine na kubadili nyavu za mbu n.k (renovation)
1. Unaipaka rangi ili iweje?
2. Kama jibu la swali la kwanza ni IPENDEZE, je unataka ipendeze ili iweje?
3. Kwani nyumba yenye rangi za kale na ukungu ni mbaya?
4.Unaipaka rangi kumdanganya nani kuwa ni mpya?
upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya ufataki na kuukataa umri...........lengo ni kuwahadaa wale wenye umri mdogo waone ya kuwa kumbe nawe bado wamo.....................kumbe tayari umekwisha kukongoroka........
mwanadamu siyo nyumba...................ukarabati wa mwanadamu ni chakula na mazoezi siyo kujipakaa poda klichwani lol..................kubwa zaidi naona nimekukamata pabaya leo...........