Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,304
- 2,080
Wataalamu naomba msaada wenu, ningependa kujua kama kuna uwezekano wa kiufundi ili niweze kutumia Toyota engine yenye CC ndogo kama 990cc, 1300CC au 1500CC kwenye Rav4 au kwenye gari aina nyingine kama vile Honda CVR , Mitsubishi Mini Pajero, Suzuki Escudo Etc..., Nia kuu ni kupunguza bajeti ya Petroli na lengo la pili ni "Savage" kwani nina rafiki yangu alinunua Honda Stream baada ya miezi 6 engine ikaloga mpaka wa leo imetaga nyumbani kwake, Msaada tafadhali?