Kufanya mitihani ya bodi kwa procurement

Kufanya mitihani ya bodi kwa procurement

Hasham007

Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
13
Reaction score
2
Habari zenu :

Naomba kufahamu utaratibu wa mtu ambae anataka kufanya mitihani ya bodi ya manunuzi { procurement and supply } utaratibu unakuwaje ??
 
Nami nataka kujua ili nifanye mitihani yake
 
Swali zuri
Labda kwa kuongezea
Ni vigezo vipi vinafanya Mtu apewe excemption kwny baadhi ya masomo?
Pepa zipo ngapi, niliwahi kusikia kuna research Kama kwny Phd na masters Ni kweli ?
 
Back
Top Bottom