Shauri yako kama unaona sifa kutojua! !!!!
mapenzi kiukweli ni hisia tu kunamwingine kukumbatiwa tu hadi anakojoa.
Hayo ni ya kweli?
Kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa Kike.. bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... na kabisa anaonesha vitendo... nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!
Ndio hivyo.. hutaki!!
Kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa Kike.. bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... na kabisa anaonesha vitendo... nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!
Kwani ibada kuwa nisipoifanya nitaingia motoni?
Kila mmoja kuna anavyovi furahia kunako game,miguno nitaisikia kwa phone na joto nitatumiwa kwa blue tooth?
Sijipaki shombo mie!!! Na import full package!!
Siamini kama hisia zaweza geuka vitendo at the same time.
inawezekana............watu wanaitumia hii sana
inawezekana............watu wanaitumia hii sana
wii wangu umeniita.......
Huko kwenu hamna mkaa,gesi wala umeme? ??!!!
Washa jiko then piga simu huku unaota moto utapata joto na miguno!!!!!
Basi si wavumilivu na hawana majukumu akubwa ynayo wakabili. Wewe unawezafanya hivo?
niliwahi kufanya before.........
siku hizi mambo mengi
Eti wanaitumia...as if
Nimekuita wii uje ushuhudie ili this time nikibeba mabegi usianze kunisihi!!!
cc. OLESAIDIMU
Ha ha ha! ni pm ili unipe habar kamili maana hapa sielewi kinachozungumziwa.