Hatutaki viongozi wa aiba yake ya mtazamo wa kuku, majigambo yao, jeuri yao, kebehi zao, lakini nguvu ya umma inabaki kuwa ya umma aende zake state akafanya biashara ya uchuuzi, bali watanzania tunamwambia tumekwisha kumchoka hatufai sasa na baadaye. Aendelee na shughuli zake za kutafuta namna ya kudhulumu na kufisadi halafu tutakuja kummalizia.