kuendela kuanga kwa chama cha wananchi cuf je nini chanzo? katika uchaguzi wa jana huko unguja cuf imezidiwa na chadema tena . je ndio mwisho wa cuf au cuf inahitaji mabadiliko ya uongozi au sera za cuf ndio zimefika mwisho
hilo mimi naona nisomo kwa cuf wakiendelea kujipa moyo wanapoteza chama na kinaenda kufa.
kuendela kuanga kwa chama cha wananchi cuf je nini chanzo? katika uchaguzi wa jana huko unguja cuf imezidiwa na chadema tena . je ndio mwisho wa cuf au cuf inahitaji mabadiliko ya uongozi au sera za cuf ndio zimefika mwisho
Kiukweli, yale madai ya Hamad Rashid yanapata NGUVU KUBWA. Alibezwa, akadhalilishwa, wakamdhihaki...sasa yote yanatimia.
Shame on u CUF na mnaporomoka, haya yamejiri Unguja na si bara panapotolewa visingizio lukuki kila wapatapo pigo.
Ieleweke kwamba ndani ya Zanzibar vyama vyenye nguvu ni viwili tu; CCM na CUF. Na katika vyama hivi kila Chama kina Anga yake za mashumbuli ambazo hua zinazitegemea, na kwa hakika Anga ya Uzini ni miongoni mwa moja kati ya Anga ambayo CCM inaitegemea ikijumuishwa na Donge na maeneo mengine kama ilivyo kwa CUF na maeneo yake. Na ushahidi wa haya angalia hata matokeo Uchaguzi wa Raisi 2010 na miaka mengine iliyopita. Kusema kwamba CUF imeshindwa Jimbo la Uzini kwa sababu ya Hamad Rashid ni zaidi ya kusema uongo! Hata hivyo chama cha CUF chaguzi kama hizi za Wawakilishi, Wabunge na Madiwani hua hawazipanii sana na wengi wa wanachama wao hua hawaendi kupiga kura siku ya uchaguzi (katika uchaguzi huu zaidi ya 4000 hawakupiga kura) ingawa hili ni tatizo. By the way kwa sasa Wazanzibari kwa asilimia kubwa hawaelekezi nguvu zao katika vyama tena (wameondoa ushabiki wa kishamba) bali wanataka Zanzibar iliyo huru kwanza, na mambo mengine yatafata baadae!