Ninavyowafahamu ACT wanaojificha Chadema kwa Tabora ni Amatus Irumba huyu ni diwani kata ya Urambo mjini Chadema, Bwana Hasani Shushi diwani kata ya Vumilia Urambo na huyu Bwana Kansa Mborouck wote hawa walishakaa kikao na Zito kule Kalaiua mwaka jana na Urambo Chadema tayari imeshawavua nyanzifa zao zote kwa sasa ni wanachama wa kawaida ila walipewa onyo kali ambalo kama wakiendelea na mchezo wao mchafu watafukuzwa uanachama na kupoteza viti vyao vya udiwani, tayari Urambo walifanya u chaguzi wiki mbili zilizopita uchaguzi ulikuwa huru na wa haki uliosimamiwa na Bwana Mrema na kwa Urambo hali sasa ni shwari bado Tabora mjini akofanya fujo bwana Mbarouck na Chadema inatakiwa kumchukulia hatua kali na kwa haraka sana maana mtoa mada yuko sahihi sana
Nakushukuru sana kwa ufafanuzi makini.
Natoa wito vikao vya chama huko Tabora vikutane haraka vimfukuze huyu msaliti Kansa Mbarouk...