Fisi wakijani bado wanakunya??fyuuuu halafu mbayaNadhani mutakubaliana na mimi kama Tanzania na watanzania bado wanakihitaji Chama hiki kuwaongoza ndani ya nusu karne nyingine ijayo.View attachment 1128776
Najua kuwa na bifu na chadema hai hondoi uhalisia wa kukubali kwa wapenda demokrasia na maendeleo bora shirikishiHata me nafikiri ccm kitashinda tena uchaguzi cos Tanzania tuna vyama vya ovyo vya upinzani sijapata kuona vimejikita zaidi kufanya siasa za matukio na kupinga Kila kitu itafikasehemu wataanza kupinga hata jinsia za watu pia havina mikakati mizuri,havina misimamo,vyama venye wenyekiti wa kudumu lkn unashangaa hao ndo wa Kwanza kudai democracia wakati vyama vyao havina democracia yaani hivi vyama vipo vipo tu.Binafsi napenda mabadiliko ya uongoz kutoka chama kimoja kwenda kingine lkn sio kwa hivi vyama vya upinzani vya Sasa Bora ccm iendelee angalau wanauhafazali kidogo kuliko upinzani.
Mzee baba me sina chuki na chama chochote Cha siasa ila ninaongea vitu vyenye uhalisia haijalishi inamfurahisha chama Fulani au inamchukiza chama fulani.sikiliza mzee utamaduni wa kisiasa ni lazima chama Cha kisiasa kiongoze nchi na Wala sio mtu ambaye Hana chama,sawa we unaweza kupenda democracia je VP hivyo vyama vinavyotaka kuongoza nchi vinapenda democracia unayotaka wewe?Najua kuwa na bifu na chadema hai hondoi uhalisia wa kukubali kwa wapenda demokrasia na maendeleo bora shirikishi
Wewe ulitaka wampongeze mamayako punga wew utakua umevalishwa shanga.Vyama vya upinzani vya tz vimejikita sana kwenye kukosoa,wakati wanapokuwa bize na kupingapinga kila jambo,ccm kupitia john magufuli inaendelea kurekebisha mambo na kuleta maendeleo lukuki kwa watanzania ,mwisho wa Siku watakaporudi kwenye sela watakuta ccm imesha maliza kilakitu na watanzania hawatawaelewa,hapo ndio ccm inapopata chansi ya kuendelea kuaminiwa na wananchi nakupewa nafasi yakuendelea kuongoza,ndo hivyo tu.
Wewe umetembea wapi ukawaza kulinganisha na Tanzania kuwa ni vya hivyo utakua umef. rwa wew punga, by the way subirin mtaona 2020.Hata me nafikiri ccm kitashinda tena uchaguzi cos Tanzania tuna vyama vya ovyo vya upinzani sijapata kuona vimejikita zaidi kufanya siasa za matukio na kupinga Kila kitu itafikasehemu wataanza kupinga hata jinsia za watu pia havina mikakati mizuri,havina misimamo,vyama venye wenyekiti wa kudumu lkn unashangaa hao ndo wa Kwanza kudai democracia wakati vyama vyao havina democracia yaani hivi vyama vipo vipo tu.Binafsi napenda mabadiliko ya uongoz kutoka chama kimoja kwenda kingine lkn sio kwa hivi vyama vya upinzani vya Sasa Bora ccm iendelee angalau wanauhafazali kidogo kuliko upinzani.
Nadhani mutakubaliana na mimi kama Tanzania na watanzania bado wanakihitaji Chama hiki kuwaongoza ndani ya nusu karne nyingine ijayo.View attachment 1128776
Wasalimie wapumbavu wenzio chamani.Nadhani mutakubaliana na mimi kama Tanzania na watanzania bado wanakihitaji Chama hiki kuwaongoza ndani ya nusu karne nyingine ijayo.View attachment 1128776
Wajinga wajinga ndo wanakihitaji kigenge cha kina pole pole,kabudi na mipango hasi!Nadhani mutakubaliana na mimi kama Tanzania na watanzania bado wanakihitaji Chama hiki kuwaongoza ndani ya nusu karne nyingine ijayo.View attachment 1128776
Vyama vya upinzani vya tz vimejikita sana kwenye kukosoa,wakati wanapokuwa bize na kupingapinga kila jambo,ccm kupitia john magufuli inaendelea kurekebisha mambo na kuleta maendeleo lukuki kwa watanzania ,mwisho wa Siku watakaporudi kwenye sela watakuta ccm imesha maliza kilakitu na watanzania hawatawaelewa,hapo ndio ccm inapopata chansi ya kuendelea kuaminiwa na wananchi nakupewa nafasi yakuendelea kuongoza,ndo hivyo tu.
Wew Ni mmmpumbavu
sema wewe unaona unahitaji chama hiki kuendelea kuiongoza nchi kama nionavyo mimi ila usiseme watanzania maana kuna wanaokipenda kama mimi na wewe ila kuna wasiokipenda pia ndio maana kuna ACT Wazalendo, Chadema au TlP etc etcNadhani mutakubaliana na mimi kama Tanzania na watanzania bado wanakihitaji Chama hiki kuwaongoza ndani ya nusu karne nyingine ijayo.View attachment 1128776