Kuelekea tarehe 23.08.2025

Kuelekea tarehe 23.08.2025

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
546
Reaction score
1,114
Tarehe 23.08.2025 ni siku iliyotangazwa na Kanisa Katoliki Tanzania kuwa itakuwa ni kilele cha maombi makuu kuhusu HAKI na AMANI katika Nchi yetu.

Naomba kuwaalika Watanzania wote wenye mapenzi mema, watu wa Dini zote na imani zote za Makabila yote na wanaokerwa na vitendo vya uvunjifu wa haki katika Taifa hili tuungane pamoja kumlilia Mungu mkuu ili aweze kutenda mambo makuu katika Nchi hii. Kila mmoja aombe kwa namna yoyote ile kulingana na imani yake.

Kwa kumlilia Mungu mkuu asiyeshindwa jambo lolote, kwa hakika Mungu mkuu, Mungu mwenye haki na Mungu asiyeshindwa jambo lolote atatenda mambo makuu katika Nchi hii haijapata kutokea. Mambo makuu haya yanaweza kutokea kabla, wakati au baada ya unaoitwa uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Utukuzwe Mungu mkuu na Mungu mwenye nguvu na uweza usiomithilika.
Amina.
 
Tarehe 23.08.2025 ni siku iliyotangazwa na Kanisa Katoliki Tanzania kuwa itakuwa ni kilele cha maombi makuu kuhusu HAKI na AMANI katika Nchi yetu.

Naomba kuwaalika Watanzania wote wenye mapenzi mema, watu wa Dini zote na imani zote za Makabila yote na wanaokerwa na vitendo vya uvunjifu wa haki katika Taifa hili tuungane pamoja kumlilia Mungu mkuu ili aweze kutenda mambo makuu katika Nchi hii. Kila mmoja aombe kwa namna yoyote ile kulingana na imani yake.

Kwa kumlilia Mungu mkuu asiyeshindwa jambo lolote, kwa hakika Mungu mkuu, Mungu mwenye haki na Mungu asiyeshindwa jambo lolote atatenda mambo makuu katika Nchi hii haijapata kutokea. Mambo makuu haya yanaweza kutokea kabla, wakati au baada ya unaoitwa uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Utukuzwe Mungu mkuu na Mungu mwenye nguvu na uweza usiomithilika.
Amina.
Naungana nawe na wakatoliki wote Tanazania, kwasabb siku hiyo ni muhimu zaidi kwani inaambatana na kutangazwa kwa majina ya watia nia wa ubunge walioshinda kura za maoni na kuthibitishwa na kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM Taifa kupeprusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania October 29,2025.

Katika kilele cha maombi hayo, tuwaombee pia moyo wa ustahimilivu na subra, watoto wadogo waliolawitiwa na kupitia dhuluma za kingono walizofanyiwa na makasisi wa kanisa katoliki Tanazania na duniani kote. Huruma ya Mungu iwayakase mafuska hao wa wanaojificha madhabahuni 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Yani nyie katholiki mko nyuma ya wakati sana,sisi tulishakung'uta maombi na tulishajibiwa kitambo....saivi tunasikilizia milio tu😎
 
Kuna mshangazi unaenda kupata stroke siku hiyo, sipati picha mimate itakavyokuwa inabubujika baada ya mdomo kumwagika
 
Tarehe 23.08.2025 ni siku iliyotangazwa na Kanisa Katoliki Tanzania kuwa itakuwa ni kilele cha maombi makuu kuhusu HAKI na AMANI katika Nchi yetu.

Naomba kuwaalika Watanzania wote wenye mapenzi mema, watu wa Dini zote na imani zote za Makabila yote na wanaokerwa na vitendo vya uvunjifu wa haki katika Taifa hili tuungane pamoja kumlilia Mungu mkuu ili aweze kutenda mambo makuu katika Nchi hii. Kila mmoja aombe kwa namna yoyote ile kulingana na imani yake.

Kwa kumlilia Mungu mkuu asiyeshindwa jambo lolote, kwa hakika Mungu mkuu, Mungu mwenye haki na Mungu asiyeshindwa jambo lolote atatenda mambo makuu katika Nchi hii haijapata kutokea. Mambo makuu haya yanaweza kutokea kabla, wakati au baada ya unaoitwa uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Utukuzwe Mungu mkuu na Mungu mwenye nguvu na uweza usiomithilika.
Amina.
Hiyo ni yetu ya mshahara watu wa Serikali. Hivyo tutakuwa bize nao.
 
Kila mwenye dhamira njema na Taifa, anayeudhiwa na ukiukaji mkubwa wa haki unaofanywa na watawala dhidi ya wananchi, tuungane kwenye ibada kuomba mkono mrefu wa Mungu uwaokoe watanzania kutoka kwa hawa watawala mawakala wa shetani.
 
Back
Top Bottom