sirdelta
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 306
- 82
kaka muoaji ni wewe alal in all yoyote yatakayotokea uwe tayari ................hawa dada zetu a.k.a hata umwoe sista wivu wanao ......sasa wewe simama katika mstari wako umpendaye ndio chaguo lako wape wao nafasi kidogo ya ushauri lakini wewe ndie final say.....................