severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,398
Wana mikakati mizito sana. Safari hii wamepanga kufika nusu fainali ya CAF CL. Ngoja tuone mana wamesajili kwelikweli. Sisi Yanga tutacheza kesho na Zesco tutawasubiria wao wikiendi ijayo tuone watafanyaje kwenye michuano ya kimataifa ha ha ha haHizi kauli hawazitakagi ujue jirani. Wao wanataka zile za kwamba watachukua Kombe. Teh teh