Wana Ukumbi,
Pamoja na mambo mengine ya rais Kikwete, lakini ningependa kueleza mambo ambayo sitasahau kuhusiana na rais Kikwete.
Ingawa mambo yapo mengi, lakini makubwa ni kama yafuatayo:
1. UZALENDO, kwa nafasi ambayo JK anayo kwa sasa. Ni yeye tu kuamua watoto wake waende kuishi nje ya Tanzania.
Lakini kamwe hakuwahi kufanya hivyo, watoto wake wote tunapigana nao vikumbo mabarabarani tu na wengine walisomeshwa shule za kawaida kabisa. Its amazing!
Kwenye baraza lake la mawaziri, karibu 90% ya mawaziri watoto wao wapo nje ya nchi yetu. Same applies kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.
2. UHURU, katika awamu ya JK sio tu uhuru wa vyombo vya habari uliimarika, lakini hata uhuru wa mwananchi mmoja mmoja.
Katika awamu ya nne ndio utaweza kukuta kuna watu aina ya Dr Slaa. Otherwise, ingekuwa kipindi cha Nyerere basi zamani mtu kama Dr Slaa angepotezwa kimya kimya tu.
3. KATIBA MPYA, kwenye hili naamini Watanzania wenzangu mtaniunga mkono kuwa JK amethubutu.
Katiba mpya lilikuwa ni hitaji la muda mrefu sana, lakini tunamshukuru mhe rais kutuliza kiu yetu kwa kutupatia katiba. Kwenye hili tukio la kiistoria, jina lako litasimama milele.
Yangu mimi ni hayo ya kumkumbuka JK. Wewe je?
Pamoja na mambo mengine ya rais Kikwete, lakini ningependa kueleza mambo ambayo sitasahau kuhusiana na rais Kikwete.
Ingawa mambo yapo mengi, lakini makubwa ni kama yafuatayo:
1. UZALENDO, kwa nafasi ambayo JK anayo kwa sasa. Ni yeye tu kuamua watoto wake waende kuishi nje ya Tanzania.
Lakini kamwe hakuwahi kufanya hivyo, watoto wake wote tunapigana nao vikumbo mabarabarani tu na wengine walisomeshwa shule za kawaida kabisa. Its amazing!
Kwenye baraza lake la mawaziri, karibu 90% ya mawaziri watoto wao wapo nje ya nchi yetu. Same applies kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.
2. UHURU, katika awamu ya JK sio tu uhuru wa vyombo vya habari uliimarika, lakini hata uhuru wa mwananchi mmoja mmoja.
Katika awamu ya nne ndio utaweza kukuta kuna watu aina ya Dr Slaa. Otherwise, ingekuwa kipindi cha Nyerere basi zamani mtu kama Dr Slaa angepotezwa kimya kimya tu.
3. KATIBA MPYA, kwenye hili naamini Watanzania wenzangu mtaniunga mkono kuwa JK amethubutu.
Katiba mpya lilikuwa ni hitaji la muda mrefu sana, lakini tunamshukuru mhe rais kutuliza kiu yetu kwa kutupatia katiba. Kwenye hili tukio la kiistoria, jina lako litasimama milele.
Yangu mimi ni hayo ya kumkumbuka JK. Wewe je?