Kuelekea kustaafu Kikwete: I'll always remember...

Kuelekea kustaafu Kikwete: I'll always remember...

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Wana Ukumbi,

Pamoja na mambo mengine ya rais Kikwete, lakini ningependa kueleza mambo ambayo sitasahau kuhusiana na rais Kikwete.

Ingawa mambo yapo mengi, lakini makubwa ni kama yafuatayo:

1. UZALENDO, kwa nafasi ambayo JK anayo kwa sasa. Ni yeye tu kuamua watoto wake waende kuishi nje ya Tanzania.

Lakini kamwe hakuwahi kufanya hivyo, watoto wake wote tunapigana nao vikumbo mabarabarani tu na wengine walisomeshwa shule za kawaida kabisa. Its amazing!

Kwenye baraza lake la mawaziri, karibu 90% ya mawaziri watoto wao wapo nje ya nchi yetu. Same applies kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

2. UHURU, katika awamu ya JK sio tu uhuru wa vyombo vya habari uliimarika, lakini hata uhuru wa mwananchi mmoja mmoja.

Katika awamu ya nne ndio utaweza kukuta kuna watu aina ya Dr Slaa. Otherwise, ingekuwa kipindi cha Nyerere basi zamani mtu kama Dr Slaa angepotezwa kimya kimya tu.

3. KATIBA MPYA, kwenye hili naamini Watanzania wenzangu mtaniunga mkono kuwa JK amethubutu.

Katiba mpya lilikuwa ni hitaji la muda mrefu sana, lakini tunamshukuru mhe rais kutuliza kiu yetu kwa kutupatia katiba. Kwenye hili tukio la kiistoria, jina lako litasimama milele.

Yangu mimi ni hayo ya kumkumbuka JK. Wewe je?
 
kwangu mimi Rais Kikwete ndo the best president since independent. sihitaji vyombo vya habari kunishawishi kwa hili. Lakini overall ccm wametuangusha sana tokea uhuru.mathalani, Kikwete anaingia madarakani amekuwa tanzania ikizalisha megawatt 750 za umeme, sasa hivi anatoka na anatarajiwa kutuachia megawatt 3000, mifano iko mingi karibia kila nyanja barabara before zilikuwa km 6000 tu lakini anaondoka akituongozea km zingine 11000, yaani mara mbili. huwa nawahsangaaga sana wanaomponda huyu jamaa. eliimu ya msingi, secondary na higher education. plenty.
 
kwangu mimi Rais Kikwete ndo the best president since independent. sihitaji vyombo vya habari kunishawishi kwa hili. Lakini overall ccm wametuangusha sana tokea uhuru.mathalani, Kikwete anaingia madarakani amekuwa tanzania ikizalisha megawatt 750 za umeme, sasa hivi anatoka na anatarajiwa kutuachia megawatt 3000, mifano iko mingi karibia kila nyanja barabara before zilikuwa km 6000 tu lakini anaondoka akituongozea km zingine 11000, yaani mara mbili. huwa nawahsangaaga sana wanaomponda huyu jamaa. eliimu ya msingi, secondary na higher education. plenty.

Kumkubali kwako kikwete ni mambo yako binafsi,ila umejenga hoja dhaifu sana kujustfy hoja yako,jenga hoja ya vitu exceptional kwa kikwete sio barabara,mara umeme sijui nin ambavyo rais yeyote ambae angekua katika awamu yake angevifanya,kuna vitu ambavyo ni general kwa kiogozi yeyote kufanya,hvyo huhitaji kumsifia kwa hilo.
 
sawa mkuu. sasa hebu nieleze kwa nini hao watangulizi wake walishindwa na hawakufanya chochote cha maana zaidi ya kutuacha tukivaa matairi ya magari, nguo za kaki na mama zetu wakivaa makaniki?

? (Ukimuacha mkapa angalau alianza kujaribu)
Kumkubali kwako kikwete ni mambo yako binafsi,ila umejenga hoja dhaifu sana kujustfy hoja yako,jenga hoja ya vitu exceptional kwa kikwete sio barabara,mara umeme sijui nin ambavyo rais yeyote ambae angekua katika awamu yake angevifanya,kuna vitu ambavyo ni general kwa kiogozi yeyote kufanya,hvyo huhitaji kumsifia kwa hilo.
 
Wana Ukumbi,

Pamoja na mambo mengine ya rais Kikwete, lakini ningependa kueleza mambo ambayo sitasahau kuhusiana na rais Kikwete.

Ingawa mambo yapo mengi, lakini makubwa ni kama yafuatayo:

1. UZALENDO, kwa nafasi ambayo JK anayo kwa sasa. Ni yeye tu kuamua watoto wake waende kuishi nje ya Tanzania.

Lakini kamwe hakuwahi kufanya hivyo, watoto wake wote tunapigana nao vikumbo mabarabarani tu na wengine walisomeshwa shule za kawaida kabisa. Its amazing!

Kwenye baraza lake la mawaziri, karibu 90% ya mawaziri watoto wao wapo nje ya nchi yetu. Same applies kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

2. UHURU, katika awamu ya JK sio tu uhuru wa vyombo vya habari uliimarika, lakini hata uhuru wa mwananchi mmoja mmoja.

Katika awamu ya nne ndio utaweza kukuta kuna watu aina ya Dr Slaa. Otherwise, ingekuwa kipindi cha Nyerere basi zamani mtu kama Dr Slaa angepotezwa kimya kimya tu.

3. KATIBA MPYA, kwenye hili naamini Watanzania wenzangu mtaniunga mkono kuwa JK amethubutu.

Katiba mpya lilikuwa ni hitaji la muda mrefu sana, lakini tunamshukuru mhe rais kutuliza kiu yetu kwa kutupatia katiba. Kwenye hili tukio la kiistoria, jina lako litasimama milele.

Yangu mimi ni hayo ya kumkumbuka JK. Wewe je?

atakumbukwa kwa maovu haya...kulazimisha policcm kuua na kuwapa watu ukilema, kuwajua wauza unga ambao ni maswahba wake bila kuwashtaki popote, kwenda ulaya kama anaenda msalani,ETI BALALI ALIFIA USA AKAZIKWA HUKOHUKO, kujisifu anajua wezi wa nyara za serikali bila kuwashtaki popote....endeleza mengne
 
Mimi nitamkumbuka kwa kutupandia mbegu ya udini

M1.JPG

Mauaji

View attachment 146277
Ujangiri
Tembo.jpg
 

Attachments

  • Marehemu Olasit.jpg
    Marehemu Olasit.jpg
    56 KB · Views: 219
Kumkubali kwako kikwete ni mambo yako binafsi,ila umejenga hoja dhaifu sana kujustfy hoja yako,jenga hoja ya vitu exceptional kwa kikwete sio barabara,mara umeme sijui nin ambavyo rais yeyote ambae angekua katika awamu yake angevifanya,kuna vitu ambavyo ni general kwa kiogozi yeyote kufanya,hvyo huhitaji kumsifia kwa hilo.

simpendi kwa sababu yupo ssm lakini kimaendeleo hana mpinzani. 1 barabar ya kwetu anatengeneza na daraja liloshindikana kwa marais wote waliomtangulia hawakuthubutu. La maragarasi mampa bigup. Umeme kigoma kama kawa kila siku hauna usumbufu kama tulipo dar barabara ya bagamoyo rod kwa kweli tuliteseka sana sasa tambarare tu kihusu deni la taifa sioni tija kwani anadaiwa nani watadai nadae watasamehe kwa msamaha maendeleo sio mara ya kwanza kusamehe
 
Yeye ndio aliwasimamisha mapadri na wachungaji wa chadema kugombea uongozi sio?

Safi sana kwa propaganda ya udini juu ya CHADEMA, propaganda hii inaendeleza utamaduni wa kuwatumia waislam kwa kuvuna kura zao, ni dharau kubwa sana kuwatumia waislam kwa kuvuna kuwatumia kama shamba la bibi, mnawaambia chama fulani cha Kikristu ili muendelee kuvuna kura, hahaha sijui wataacha kutumika lini
 
simpendi kwa sababu yupo ssm lakini kimaendeleo hana mpinzani. 1 barabar ya kwetu anatengeneza na daraja liloshindikana kwa marais wote waliomtangulia hawakuthubutu. La maragarasi mampa bigup. Umeme kigoma kama kawa kila siku hauna usumbufu kama tulipo dar barabara ya bagamoyo rod kwa kweli tuliteseka sana sasa tambarare tu kihusu deni la taifa sioni tija kwani anadaiwa nani watadai nadae watasamehe kwa msamaha maendeleo sio mara ya kwanza kusamehe

kwani yeye ndo engineer alelitengeneza mpaka kusema eti daraja lililowashinda marais wengine kwa hiyo ckuhizi marais ndo maengineer.
 
Mimi wala sitaki kumkumbuka ila ningemkumbuka vizuri kama katiba ya sasa ikiwa na kipengele cha kumshitaki rais kwani nadhani atakuwa Rais wa kwanza kustaafu na kwenda jela kwa miaka yake iliyobaki.

Mikataba yote mibovu yeye na maswahiba wake waliyoingia inayotesa wananchi ipo siku Mwenyezi Mungu ataona vilio na machozi ya watanzania.
 
Katiba shinikizo la cdm na ipo kwenye ilani!

Mimi naona jk ndio rais dhaifu kuliko wote waliowahi kupita nchi hii yeye na mwinyi sioni tofauti
 
Kumkubali kwako kikwete ni mambo yako binafsi,ila umejenga hoja dhaifu sana kujustfy hoja yako,jenga hoja ya vitu exceptional kwa kikwete sio barabara,mara umeme sijui nin ambavyo rais yeyote ambae angekua katika awamu yake angevifanya,kuna vitu ambavyo ni general kwa kiogozi yeyote kufanya,hvyo huhitaji kumsifia kwa hilo.

Jamaa ww akili yako imeganda. Kama hujamuelewa mtoa hoja basi ww ubongo wako ni maiti.
 
Kumkubali kwako kikwete ni mambo yako binafsi,ila umejenga hoja dhaifu sana kujustfy hoja yako,jenga hoja ya vitu exceptional kwa kikwete sio barabara,mara umeme sijui nin ambavyo rais yeyote ambae angekua katika awamu yake angevifanya,kuna vitu ambavyo ni general kwa kiogozi yeyote kufanya,hvyo huhitaji kumsifia kwa hilo.

Ulitaka amsifie Kwa lip I? A cha chuki mnamacho lakini mnajifanya kama hamuoni jk kafanya mengi tofauti kabisa nawatangulizi wake
 
Back
Top Bottom