libra
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 301
- 121
Nilituma maombi kwa ajili ya kozi ya computer ngazi ya diploma. Awamu ya kwanza sikuchaguliwa sababu waliandika kuwa sina principle ilihali mimi niliomba kwa kutumia cheti cha kidato nne na cheti cha computer NTA level 4.
Nilipoenda waliniambia nisiwe na wasiwasi kuna matatizo yalitokea kwahiyo watalifanyia kazi. Kweli kwa sasa kuna matumaini ila kuna kitu kinanipa wasiwasi. Ukiingia kwenye admissions status sehemu ya entry requirement kwa upande wa cheti cha kidato cha nne wameandika "required qualification found"na kwa upande wa cheti cha NTA level 4 hawajaandika chochote.
Hili linamaanisha nini wakuu? Ina maana cheti changu cha NTA level 4 hawajakiona ilihali nilikiapload?!
Nilipoenda waliniambia nisiwe na wasiwasi kuna matatizo yalitokea kwahiyo watalifanyia kazi. Kweli kwa sasa kuna matumaini ila kuna kitu kinanipa wasiwasi. Ukiingia kwenye admissions status sehemu ya entry requirement kwa upande wa cheti cha kidato cha nne wameandika "required qualification found"na kwa upande wa cheti cha NTA level 4 hawajaandika chochote.
Hili linamaanisha nini wakuu? Ina maana cheti changu cha NTA level 4 hawajakiona ilihali nilikiapload?!