Kuelekea hatua Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya Al Ahly SC 'Hatushindwi'

SIMBA ya wakati huo ilikuwa WACHEZAJI MAUMBO MAKUBWA,,,huyo MALOTA SOMA paja lake hadi linataka KUCHANA bukta,,,hawa WACHEZAJI wetu wa sasa wanakuwa kama under 17 AGED kumbe VIJEBA,,sijuwi kwann wamekuwa na MAUMBO MADOGO SN,, hawa JAMAA HATUWAWEZI,,,mpaka tubadilishe mfumo wa UCHEZAJI WETU...WACHEZAJI NGUVU hawana,,,,ni kama TEMBO kupambana na SUNGURA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtapigwa Ila mtapata goli
 
Tuseme we ni Azam?
 
Simba hawajawahi kukutana na AL AHLY HAPO KABLA... GAME YAO YA KWANZA NI HII WALIYOFUNGWA 5..
USIPENDE UPUUZI WA FB KULETA HAPA PAKA WA MGANGA WW..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…