Mkuu Ben Saanane, amini nakuambia, Chadema itanusuriwa na watu kama nyinyi ambao mko tayari kusikiliza, kupima mantiki ya unachoambiwa na kisha kuchukua hatua!, hawa washabiki wenu na wapambe ambao kazi yao ni ku "denial every allegations leveled against Chadema, won't help you"!
Kiukweli, Ben, nimeipenda sana approach yako unavyokata issues humu jukwaani, very ipressive na vijana wa sample yako, mna very bright future kwenye politics is you maitain being "who you are" and and thats really "you"!. Approach ya wengi wa members wenu au washabiki wenu is not "who they are", but "what they are!".
Thanks Ben!.
Pasco.
Mkuu Sangarara, vitu vinavyotakiwa kubadilika ni "mambo flan" ya ndani, viongozi wenu wamekwisha elezwa, hii ni thread ya msisitizo tuu ili wenye macho waone, na wenye masikio, wasikie.
Ila uki insist kujua ni nini haswa Chadema yapaswa kufanya, tembelea hapa CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015 na ukitembelea huko, ujibu huko huko, ili ya hapa ndio tuyajibu hapa!.
Pasco.
Mkuu Ben Saanane, amini nakuambia, Chadema itanusuriwa na watu kama nyinyi ambao mko tayari kusikiliza, kupima mantiki ya unachoambiwa na kisha kuchukua hatua!, hawa washabiki wenu na wapambe ambao kazi yao ni ku "denial every allegations leveled against Chadema, won't help you"!
Kiukweli, Ben, nimeipenda sana approach yako unavyokata issues humu jukwaani, very ipressive na vijana wa sample yako, mna very bright future kwenye politics is you maitain being "who you are" and and thats really "you"!. Approach ya wengi wa members wenu au washabiki wenu is not "who they are", but "what they are!".
Thanks Ben!.
Pasco.
Mkuu Luka, kuhusu uwezo wa EL, ujajulikana wazi, na huma ndani, nimeshapandisha threads zaidi ya kumi kumuelezea EL, hii sio thread ya uwezo wa EL, hii ni thread ya Chadema to do things right, waingie Ikulu 2015!. Kama bado una nia ya kuujua uwezo wa EL na nguvu aliyonayo ndani ya CCM na nje ya CCM, tembelea Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa, Then
Hii pia sio thread ya utayari wa Chedema kuongoza nchi, hii ni thread ya uongozi wa Chadema, "kusikiliza, kutenda na kubadilika" kuhusu "mambo flan" ya ndani, ndipo tuwakabidhi Ikulu, ila pia kama una interest ya kuujua utayari wa Chadema kuongoza nchi, tembelea hapa CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
Ukitembelea huko, ujibu huko huko, ili ya hapa ndio tuyajibu hapa!.
Pasco.
Mkuu Sangarara, vitu vinavyotakiwa kubadilika ni "mambo flan" ya ndani, viongozi wenu wamekwisha elezwa, hii ni thread ya msisitizo tuu ili wenye macho waone, na wenye masikio, wasikie.Unatuchanga sasa, unataka sera za CHADEMA au unataka ibadirike?
O!nilisahau,kasoro Zomba,na just a few gambaz!Kuna thread niliisoma ya mmoja wa members kutoka usukumani,alipokutana na mwanamama kwenye daladala ambaye alichangiwa 5,000 na wasafiri wenzake ili akalipe fine kwasababu alikuwa amechelewa kwenye kikao cha chadema kutokana na daladala hiyo kuishiwa na mafuta.Huko anakotokea Mayalla!Kazi kwako na ukabila wako mkuu!you're doomed to fail na majina yako fake!ukombozi hauzuiliwi na vicheche wachache kama wewe na wanafiki wenzako.Mungu si Zomba,and his will is the strongest!He is the most gracious,most merciful!mpango wako utashindwa na umeshindwa kabla ya kuanza!God willing!Hayo yanasemwa na Mushi, kuna cha kushangaa hapo?
Mkuu Galileo Galilei, jina lalo limenikumbusha hoyo Mzee, alipogundua Telescope, ndiye yeye binadamu wa kwanza kutangaza kuwa dunia ni duara!. Masikini mzee huyu, kwa tangazo hilo, alihukumiwa kifo na alinyongwa kwa kwenda kinyume cha Mungu, wakati huo wakiamini Mungu ndie aliyeimba dunia ikiwa bapa!.Pasco,
Maoni yako ni yapi kwa mgombea binafsi ktk nafasi za ubunge, udiwani pamoja na urais, kuelekea 2015.
Luka, mambo ya kuitana bwana mkubwa ndio mambo gani haya?, hivi sasa mimi ni bwana mdogo tuu, unaniita bwana mkubwa, sasa 2015 nikiwa bwana mkubwa kikweli kweli, utaniitaje?.Asante bwana mkubwa.
I doubt kuwa alikuelewa,mwambie aje hapa athibitishe kwamba mabadiliko anayoyazungumzia yeye ndo hayohayo unayoyazungumzia wewe,maybe hilo la Zitto,which I don't buy it kwasababu ni magroup ya kuwania urais ambayo hata mwenyekiti wao aliyaponda!Mkuu Ben Saanane, amini nakuambia, Chadema itanusuriwa na watu kama nyinyi ambao mko tayari kusikiliza, kupima mantiki ya unachoambiwa na kisha kuchukua hatua!, hawa washabiki wenu na wapambe ambao kazi yao ni ku "denial every allegations leveled against Chadema, won't help you"!
Kiukweli, Ben, nimeipenda sana approach yako unavyokata issues humu jukwaani, very ipressive na vijana wa sample yako, mna very bright future kwenye politics is you maitain being "who you are" and and thats really "you"!. Approach ya wengi wa members wenu au washabiki wenu is not "who they are", but "what they are!".
Thanks Ben!.
Pasco.
Ndiyo...Hapana ...Sina Jibu!Pasco,
Kwa maoni yako, wewe unataka nchi hii ibakie mikononi mwa CCM au vinginevyo????? Jibu ndiyo au Hapana Kama huna jibu basi mimi ntakuwa na jibu nadhani hata wajumbe walioko humu JF watakuwa wamekufahamu na nitakumbushia post za huko nyuma.
Unatuchanga sasa, unataka sera za CHADEMA au unataka ibadirike?
Mkuu J. Mushi, think of me they way you think, and treat me accordingly to your thinking, when the time is right, you'll get to know be better and you'll feel sorry for thinking of me the way you've been thinking, when that time arrives, be brave enough kurudi hapa and express your genuine feelings again!.I doubt kuwa, Pasco wewe ni adui wa mabadiliko and we will treat you as such.Wasiyo na macho tutawafungua tukiweza.God willing!
First of,mabandiko ya nyuma uliyodai unarudi kinyume kuyajibu hujafanya hivyo.Badala yake unaongea kama vile wewe ni mtume flani na kwahiyo maneno yako ndo hayo yabaki hivyo bila kujibiwa pale usipoeleweka!Mkuu J. Mushi, think of me they way you think, and treat me accordingly to your thinking, when the time is right, you'll get to know be better and you'll feel sorry for thinking of me the way you've been thinking, when that time arrives, be brave enough kurudi hapa and express your genuine feelings again!.
P.
Mkuu RR, nakushukuru kwa objectivity yako katika kussuport au kupinga, points zangu nimeziweka in number format na hivyo ndivyo watu makini, wanavyotakiwa kujibu kwa points, hoja inajibiwa kwa hoja au inapigwa kwa hoja!.Pasco,
Asante. Hapo umekuwa slight better objective-wise.
Napinga hoja yako namba moja. "Watu na uhalali" ktk chaguzi zilizopita ni kitendawili. Ni ishu tata kiasi kwamba sitaki kulianzisha hapa. 20m registered voters and you know how many voted in 2010!
Naunga mkono hoja namba 2,3,8,9 na 10.
Hoja namba 4,5 na 6 zinafanana na hoja namba 2, kimantiki.
Hoja namba 7 imejichanganya sana. Sijui ni sababu ya wivu, wasiwasi au ni nini? Lakini umebabaika sana kati ya jiwe na mwamba mgumu!
Kwa ufupi hoja yako kuu inapaswa kuwa usikivu na unyenyekevu wa top-cream. Of coz, ni lazima viongozi wawe wasikivu na weledi. Uongozi sio kutimiza matakwa/ndoto/hisia zako (za wachache) kwa hasara ya walio wengi. So hapo nadhani kuna hoja fulani ulivyoivisha fumbo.
Mkuu Galileo Galilei, jina lalo limenikumbusha hoyo Mzee, alipogundua Telescope, ndiye yeye binadamu wa kwanza kutangaza kuwa dunia ni duara!. Masikini mzee huyu, kwa tangazo hilo, alihukumiwa kifo na alinyongwa kwa kwenda kinyume cha Mungu, wakati huo wakiamini Mungu ndie aliyeimba dunia ikiwa bapa!.
Nimekumbushia kisa hicho kwa sababu humu jf, tuna tazo la watu kung'ang'ania ukweli wao na kuupinga ukweli halisi!.
Enzi zile ukweli wao kuhusu umbo la dunia ni ubapa, Galileo alipowapa ukweli halisi, alinyongwa, baadae ukweli halisi ulipokuja kudhihirika, waliomnyonga walimjutia!.
Vivyo hivyo ninavyowapa ukweli halisi kuhusu chances za ushindi wa Chadema 2015, wananinyonga humu, 2015 itafika, ukweli utatimia, wataniheshimu!.
Hilo la mgombea binafsi kwa 2015, take me 100% sure litakuwepo kwa udiwani na ubunge, kwa urais 50% 50%!.
Pasco.
Mkuu J. Mushi, nitarudi, nitajibu, na hata hii post pia nitaijibu!First of,mabandiko ya nyuma uliyodai unarudi kinyume kuyajibu hujafanya hivyo.Badala yake unaongea kama vile wewe ni mtume flani na kwahiyo maneno yako ndo hayo yabaki hivyo bila kujibiwa pale usipoeleweka!
Hayo ya kusema nitarudi hapa baada ya maneno yako kutimia hayahusiani na wewe kujieleza ni kitu gani haswa unachotaka kibadilike ili chadema iweze kuchaguliwa.Kuna wenye kusema eti chadema inapata wanachama na si wapiga kura!what a statement!
Be real and talk real stuff!hujanijibu ni nani aliyekwambia kuwa mgombea wa ccm atokee kaskazini na wa chadema mwisho wa reli!hutoi ushauri kwa kuweka facts,bali unafeed of off hatred na kubandika thread zenye kuchochea hizo chuki,hakuna facts zenye kuweza kufanyiwa kazi na hao unaowashauri,hausemi nawataka mubadilike kwasababu hii ama ile,badala yake unazunguruka tu!Hutaki kujiweka wazi ili watu wajadili!nyie ndo waandishi ambao kama mngefanya kazi inavyotakiwa,basi taifa lingekombolewa!Lakini ukweli upo wazi kuwa mabadiliko ya Tanzania yamechelewa kwasababu ya baadhi yenu!hilo hutakwepa na nitarudi hapa kukwambia hilo hata kama chadema isiposhinda 2015!Wewe utakuwa ni mojawapo ya kikwazo cha kutokushinda kwasababu unaplay part mbaya kwenye historia ya nchi hii!
Unamsapoti Lowassa eti kwasababu katokea kaskazini na Zitto kwasababu ya Kigoma!what a joke!Halafu wewe ni mwanidshi mwenye heshima!?Unashindwa kutanabaisha ni mabadiliko gani yanahitajika na unashindwa kutoa elimu kwa wananchi ili taifa lisonge mbele?unaidhalilisha taaluma ya habari kwa kutokuwa na misimamo isiyoyumba yenye manufaa kwa taifa?
Nakuomba uwe on the right side of history ili usije kuumbuka,kwasababu usidhani eti watu hawaoni jinsi unavyojaribu kuvuruga chachu ya mabadiliko nchini!haitakiwi uje na kauli kama hizo,hapa ni JF mkuu na unajuwa jukwaa hili ni better kuliko hayo magazeti ya prpaganda mnayolipwa kuwafagilia hata mafisadi eti kisa ni wa kaskazini!mnapanda chuki za kikabila na kidini ili tu mufikie malengo yenu bila kujuwa the nations well being is on stake.
Mchana mwema!please rudi ujibu yale maswali!
Mkuu Zomba, asante, nakumbuka hata Ustaadh Mohamed Said, alitueleza wakombozi halisi wa taifa hili dhidi ya wale waliotuzuga!.Source: A Short History of the Microscope
- Pre-1600: In the 11th century, the Arab Alhazan described the use and characteristics of glass lenses. Two hundred years later, the English natural philosopher Roger Bacon was familiar with lenses. Eyeglasses, however, were not invented until the late 1200s.
- 1600s: In 1608 the telescope was invented, with Galileo improving upon it with his own models. Around 1600, the microscope was invented, possibly by Hans and Zacharias Jansen. Due to poor lens quality, the early compound microscopes (ones that used two lenses) could only magnify an object up to 20 or 30 times its normal size.
Soma na hapa: Muslim Inventions « Knowing the Truth: Gateway to Knowledge
Waliokwambia Galileo Kavumbuwa telescope wamekuzuga kama waliokuzuga Kilwa imevumbuliwa na Vasco Da Gama.
CTRL + Q to Enable/Disable GoPhoto.it
Mkuu, wewe si ulinibishia? si umeona mwenyewe? nilikuambia achana na hao watu....wenzio kila kitu wanaangalia kwa jicho la dini. Usipokuwa makininao watakuweka off point.Mkuu Zomba, asante, nakumbuka hata Ustaadh Mohamed Said, alitueleza wakombozi halisi wa taifa hili dhidi ya wale waliotuzuga!.
P.
Mkuu Just, ukitoa ushauri bila kuombwa, ushauri huo unaweza 1. Hata usisikilizwe, 2. Ukasikilizwa na kupuuzwa 3. Ukasikilizwa na kufanyiwa kazi!.mimi huwa nafurahi sana nikiona ushauri wa watu kwa chadema hivi unasema kibadilike Je uliwapa ushauri wakati hawajakubalika ili wakubalike? kama sio waunge mkono kwa kuhamasisha jirani na ndugu zako ili tusaidie kuondoa mfumo mbovu uliopo, tuacheni kuwapanikisha viongozi wa chadema kilchopangwa na mungu kamwe binadamu hawezi kukitengua atachelewesha tu na kwa maono yangu ilicheleweshwa toka 1995 na sasa 2015 ndi mwisho.
hakuna mabadiliko hakuna maendeleo na watanzania naombwa wahamasishwe kuichoka CCM sababu nyingine baadae. ukimchoka mume au mke si unachukua hatua na sababu zitatolewa mbele ya vikao vya wanafamilia?