Mmh hali inatisha sana kwa kweli,unaweza kufikiri kuwa wakubwa hawajui mambo haya, wanafanya hivi makusudi ili watoto wao wanaosoma nje waje waendelee kututawala maana kwa hali hii mtoto anayesoma katika mazingira kama hayo ataweza vipi kuhimili ushindani katika sekta yeyote inayohitaji akili zisizolala.