Kudumisha long distance relationship -part 1

Kudumisha long distance relationship -part 1

Niko kwenye LDR miaka miwili sasa na sioni changamoto zozote za tofauti na mahusiano ya karibu. Upendo na mawasiliano tu ndio mnahitaji.
 
LDR sio rahisi kama tunavyodhani ila ni kweri hizo sababu zoote zipo sahihi na pia mapenzi ya kweli yanaweza kuwepo na kudumu,

mimi nipo mbali na mpenzi wangu njia kuu ni mawasiliano hasa video call na kipindi cha likizo ndefu either aje au niende....

ni kuwa serious tu! kuna point hapo umezisema..yani ukiona unashawishka kumsaliti mpenzi wango jiulize

"is He/She worth loosing the one you have..!!?"

tatizo vijana tunaendekeza sana tamaa, tuwe na misimamo.

Asante chief kwa kunikumbusha.
Pamoja chief
 
Back
Top Bottom