Kudorora Kwa internet ya TTCL Na Promotion Za SMILE

Kudorora Kwa internet ya TTCL Na Promotion Za SMILE

donrushs

Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
40
Reaction score
4
Kuna Siri gani nyuma ya Pazia mwezi huu Kwa huduma ya TTCL upande wa DATA ( internet ) kuwa mbaya haijapata kutokea at the same time watu wakipita maofisini kwetu Na kutushawishi tuhamie SMILE?
 
Kuna Siri gani nyuma ya Pazia mwezi huu Kwa huduma ya TTCL upande wa DATA ( internet ) kuwa mbaya haijapata kutokea at the same time watu wakipita maofisini kwetu Na kutushawishi tuhamie SMILE?

Sijui wewe uko wapi ila huduma ya internet ya ttcl kwa mkoa wa Mara ni worse, natamani hata hao smile kama wangepatikana Mara ili tujiunge nao! By the way, unafikiri ni hujuma? Hayo mbona ni maisha ya kawaida sana when individual interests conflict with public ones!
 
Kuna Siri gani nyuma ya Pazia mwezi huu Kwa huduma ya TTCL upande wa DATA ( internet ) kuwa mbaya haijapata kutokea at the same time watu wakipita maofisini kwetu Na kutushawishi tuhamie SMILE?
Who is behind SMILE? Ukipata jibu basi utajua ni yaleyale ya air Tanzania na precision air ya akina chenge na mramba,ya umma lazima ife ya watu binafsi tena walio na nafasi nyeti serikalini lazima istawi na kushamiri.
 
ttcl hakuna wazalendo !!!

nasikitika na roho inaniuma jins inavyogaragazwa na vikampuni uchwara!
 
hujuma nyingi mule baadhi ya wafanyakazi wasio waaminifu wanachangia kuimaliza kwa hujuma na tamaa ya visenti wanayopewa na makampuni shindani ndo mana matatizo hayaishi kila siku
 
Na wao ttcl hawako kibiashara kabisa,huduma kwa wateja 0,gharama juu,sijui ipo kwa manufaa ya nani?
 
Na wao ttcl hawako kibiashara kabisa,huduma kwa wateja 0,gharama juu,sijui ipo kwa manufaa ya nani?ife tu.
 
ttcl ni wababaishji tu na ni ajabu wamepewa mamlaka ya kusimamia mkongo wa taifa!!!!hakuna huduma au biashara yoyote ya ttcl iliyo na mafanikio siyo landlines,mobile,data etc ushauri ianzishwe mamlaka maalum isimamie mkongo wa taifa au sivyo tz tutakuwa wasindikizaji tu!!!
 
Back
Top Bottom