Hizo tabia ndo za kiswahili..ndomana watu wakioa wanaangalia na chimbuko lenu,sidhan km mwanamke aliyelelewa vizuri na kuwa na hofu na mungu anaweza kutoa siri za mume wako nje maana hapo mnajidharirisha wote sio peke yake km.anavyojidanganya,inabidi bi chau amfunde vizuri kujua thamani ya mume ni nini