Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Kwani lengo ni nin?
Usinchimbe....
Kwani lengo ni nin?
ni nini shida
Mi sijasema kama nina shida bana .....!!
Umeshika tumbo
Linapokuja suala la mapenzi kuna vitu tunakuwa kama tumejisahaulisha
kutekenyana ndimi sema wengi hawajui kudendeka mtu anafungua mdomo kama anataka kung'olewa jino aiii
..bora nikaenda kwa chumvi kuliko kula mate!!!
Kwanini msitekenyane nyayo?
..bora nikaenda kwa chumvi kuliko kula mate!!!
ndimi zinamsisimko wa tofauti ,,.. na mimi napenda kutekenyana ndimu ... kama kuna mtu anapenda kutekenyana nyao nayo ni heri tu
Nakuja hapo ofisini kwako tutekenyane ndimi
kutekenyana ndimi sema wengi hawajui kudendeka mtu anafungua mdomo kama anataka kung'olewa jino aiii
duhhhhhh
Khaaaa..
..utadhani hampemdi vile..!!
..utadhani hampemdi vile..!!
sipendi kutoka moyoni mwangu
Msema kweli mpenzi wa Mungu....hayo madude ya chini kupeleka mdomoni hainiingiagi kwa kichwa kabisaa
....seeing/experiencing is believing!!
I wouldn't believe until....!
kutekenyana ndimi sema wengi hawajui kudendeka mtu anafungua mdomo kama anataka kung'olewa jino aiii
Yaani wengine wanapanua midomo kama makinda ya ndege