Kudendeka Poa kushea glass hapana, kinyaa mnapata wapi?

Kudendeka Poa kushea glass hapana, kinyaa mnapata wapi?

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,793
Reaction score
7,168
Wanajanvi,

Kwa kawaida wapenzi wapya mapenzi yakinoga wanababanisha midomo hata kubadilishana mate.

Bila kujali kuwa mtu ni afya, wengine wananuka midomo kuliko kunguru hasa wale wavuta sigara, wengine wala kitimoto wanadendeka na mahajiati.

Je , penzi linasahulisha MTU ni afya au mwenye mapemzi ana chongo.
 
Mate ya mtu ukiyaona yanatia kinyaa balaa

Ila wakati wa denda kichwa cha chini ndo kinafanya kazi ndo mana huoni kinyaa
 
Linapokuja suala la mapenzi kuna vitu tunakuwa kama tumejisahaulisha

Kuna kipindi mtu akikonda sana unaingia uoga lakini akikudate baadaye unaona yuko salama na unakuwa tayari kwa lolote. Tamaaa ikiisha jasho kidogo inakutoka
 
Mate ya mtu ukiyaona yanatia kinyaa balaa

Ila wakati wa denda kichwa cha chini ndo kinafanya kazi ndo mana huoni kinyaa
Ndiyo maana tunadendeka lakini hayo mate yakiwekwa kwenye glass ukiambiwa unywe huwezi.
 
mapenzi yaache bwana hakuna kipengele napenda kama kudendeka aisee...vingine huwa sipendi ... ila aisnuke mdomo tu
 
kutekenyana ndimi sema wengi hawajui kudendeka mtu anafungua mdomo kama anataka kung'olewa jino aiii

man_laughing_42-17860109.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom