Na hii inahusika pande zote...kwa mke na mume.Cha hajabu unasikia mume wa mtu maziwa...mke wa mtu sumu.
These days wanawake nao wameamua kumwaga mboga. KikulachoChako
Wanaume cku zote wanapenda wao ndio watendewe mema tu na kupendwa kwa dhati na wanawake wao lakin hawapendi kurudisha yote hayo kwa wapenz wao,wao ndio wa kwanza kulalamika pindi wanapoumizwa ila wao wanapo waumiza wapenzi au wake zao huona kuwa ni sawa tu .Hii ndio selfishness ya wanaume dhidi ya wanawake
Mnachekesha na kusikitisha kwa wakati mmoja kwelikweli!Ama ndio kale kausemi kenu ka, mme akikutwa ametoka nje ya ndoa anaitwa mwanaume rijali ilihali akikutwa mwanamke huitwa malaya?