Kuchoma kadi za vyama ni sawa?

Kuchoma kadi za vyama ni sawa?

MJIMPYA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
506
Reaction score
273
Tundu Lissu akichoma kadi ya mwana ccm aliyejiunda cdm kule singida.

attachment.php


Hii inakubalika kweli?
Source: Mwananchi ya leo
 

Attachments

  • bendera.png
    bendera.png
    140.5 KB · Views: 618
Nadhan ungelinganisha na yule mbwa alievishwa bendera ya CDM na Nchemba kwanza halafu ndio ungeuliza swali. Kifupi hilo ni karatasi tu kama vile unavyoidhamini na kuiogopa hela kuichoma.
 
Kuliko kuzitupa mtaani, ni bora kuzichama kutunza mazingira,...maana wakiziweka mtasema bado wana kadi za CCM
 
Kwetu ukionekana na hiyo kadi unapigwa viboko hadharani ....wacha ichomwe
 
Unashanga kuchomwa kadi ya maCCM?? Mtwara wamechoma hadi ofisi ya maccm, ndio mjue hamkubaliki, dunia mpaka mbinguni... huo ni ujumbe tosha!
 
Kadi ni ya mwanachama sio ya chama ndio maana vyama vinauza kadi.Aliyeinnunua ana mamlaka nayo na sio chama tena.
 
Watu wanachoma nyumba za wabunge wa ccm huko mtwara na ofisi za ccm iwe hicho kikadi cha mkoloni mweusi
 
Tundu Lissu hayupo sawa nimeona hiyo picha akichoma kadi ya CCM mbele ya watoto wadogo unadhani anawafundisha kitu gani hao watoto si wanajua siasa ni vita.
 
Tundu Lissu hayupo sawa nimeona hiyo picha akichoma kadi ya CCM mbele ya watoto wadogo unadhani anawafundisha kitu gani hao watoto si wanajua siasa ni vita.
Mwalimu, huyo vipi anawafundisha amani eh?
images
 
Tundu Lissu hayupo sawa nimeona hiyo picha akichoma kadi ya CCM mbele ya watoto wadogo unadhani anawafundisha kitu gani hao watoto si wanajua siasa ni vita.
Acha kutuchanganya wewe mwigulu kuvisha mbwa bendera ya cdm alikua sawa?
 
attachment.php


Inakubalika sana tu! Kama watu wamemwomba afanye hivyo je? Ona hapa
 
Tundu Lissu hayupo sawa nimeona hiyo picha akichoma kadi ya CCM mbele ya watoto wadogo unadhani anawafundisha kitu gani hao watoto si wanajua siasa ni vita.
Anawafundisha kuwa CCM ni pepo
 
Back
Top Bottom